ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Huyu tajiri niliwaambia anajua Sana ubunifu.amekuja na Azam ukwaju kaajiri watu wengi Safi sana anaangalia fursa anaifanya kwa Hali.ana bidhaa nyingi huwezi kumfananisha na matajiri wengine .Azam itabaki kuwa juu hewani kwenye mawingu.the number one Africa choice.