Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,534
- 11,449
Hahahaaaa nipo mbona mama..!hivi upo????????
Nimewamiss nkashindwa kuvumilia nimeamua kuja kuwasalimia chap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa nipo mbona mama..!hivi upo????????
mgeni mwenyeji ndugu! nimemjua kabisaaaaaaa, namsoma tu hapa lol!mkemwenza, huyu mgeni anayetaka ukaguzi ni mgeni kweli au mgeni mwenyeji???
mgeni mwenyeji ndugu! nimemjua kabisaaaaaaa, namsoma tu hapa lol!
una hamu ya kukaguliwa ee? 96 yamekamilika?Jamani e,me mgeni mgeni,
mbona mnani-compare na watu jama?
Au hamtaki huyo mme wenu anifanyie ukaguzi?
Jamani e,me mgeni mgeni,
mbona mnani-compare na watu jama?
Au hamtaki huyo mme wenu anifanyie ukaguzi?
mgeni gani wewe unaomba ukaguzi?
Anyway nachukua nafasi hii kukuarifu mgeni kuwa umoja wa wake wa Asprin, ambao ni BADILI TABIA, cacico na Yummy chini ya usimamizi wa Kongosho umekataa ombi lako la kulazimisha kukaguliwa, maana hiyo ni sawa na kumbaka mume wetu.
mke mwenza upo? hana tbs kwa kweli ya kukaguliwa na hubby wetu! anyways muelekeze akapekuliwe na wakina Young_Master na wenzie, haodio size yake! mgeni umetusikia?mgeni gani wewe unaomba ukaguzi?
Anyway nachukua nafasi hii kukuarifu mgeni kuwa umoja wa wake wa Asprin, ambao ni BADILI TABIA, cacico na Yummy chini ya usimamizi wa Kongosho umekataa ombi lako la kulazimisha kukaguliwa, maana hiyo ni sawa na kumbaka mume wetu.
ulifundiwa wapi? unatia aibu! na hao wakina Kaizer umewajulia wapi?? yaani muandiko wako ndio ule ule! ni wewe kabisaaaaaaa!Sitaweza kumbaka jamani labda mwenyewe akitaka.
Lakini huo ukaguzi si ninafanyiwa nikiwa chini ya uangalizi wa Kaizer na@Erickb52?
Ina mana jopo lote hilo ntawezaje?
Hebu mwite basi.
Jamani c mimi.
:frusty: :A S-confused1:
Nashukuru kwa yote mliyonitendea Mungu atawamwaga Motoni kwani mmesababisha nisifanyiwe upekuzi yakinifu.
Haya bhana me narudi zangu Kijijini.
Nisalimie wake wenzako
BADILI TABIA na Yummy pamoja na mume wenu Asprin,
Ni yule yule daima,
AmKATRINA
kijijini unaenda kufanya nini?
kuna mtu anaitwa platozoom humu ndani anatafuta mke, humtaki?
Mmhhh!!! Wewe acha kabisa platozoom ana kidemu chake anaitwa ummu kulthum,
nakwambia anavyomlinda mpaka sokoni anamsindikiza na panga na mishale.
Eti akina Erickb52 na Kaizer wasimuimbishe.
Nitake radhi......si kidemu ni mtoto aliyejaaliwa mnyange wangu kigori laaziz ummu kulthum
cacico ndio system gani hiyo ya kukaribisha wageni? Embu muelekeze ofisini kwangu aje nimfanyie upekuzi. Vigezo na masharti kuzingatiwa.mke mwenza upo? hana tbs kwa kweli ya kukaguliwa na hubby wetu! anyways muelekeze akapekuliwe na wakina Young_Master na wenzie, haodio size yake! mgeni umetusikia?