Mimi ODM... Nitoke na nani leo??

asee! hommie unajua kama mbuzi beberu hapigi mswaki!
 
Jamani e,me mgeni mgeni,
mbona mnani-compare na watu jama?
Au hamtaki huyo mme wenu anifanyie ukaguzi?

mgeni gani wewe unaomba ukaguzi?
Anyway nachukua nafasi hii kukuarifu mgeni kuwa umoja wa wake wa Asprin, ambao ni BADILI TABIA, cacico na Yummy chini ya usimamizi wa Kongosho umekataa ombi lako la kulazimisha kukaguliwa, maana hiyo ni sawa na kumbaka mume wetu.
 
Last edited by a moderator:

Sitaweza kumbaka jamani labda mwenyewe akitaka.
Lakini huo ukaguzi si ninafanyiwa nikiwa chini ya uangalizi wa Kaizer na Erickb52?
Ina mana jopo lote hilo ntawezaje?
Hebu mwite basi.
 
Last edited by a moderator:
mke mwenza upo? hana tbs kwa kweli ya kukaguliwa na hubby wetu! anyways muelekeze akapekuliwe na wakina Young_Master na wenzie, haodio size yake! mgeni umetusikia?
 
Last edited by a moderator:
Sitaweza kumbaka jamani labda mwenyewe akitaka.
Lakini huo ukaguzi si ninafanyiwa nikiwa chini ya uangalizi wa Kaizer na@Erickb52?
Ina mana jopo lote hilo ntawezaje?
Hebu mwite basi.
ulifundiwa wapi? unatia aibu! na hao wakina Kaizer umewajulia wapi?? yaani muandiko wako ndio ule ule! ni wewe kabisaaaaaaa!
 
Last edited by a moderator:
kijijini unaenda kufanya nini?
kuna mtu anaitwa platozoom humu ndani anatafuta mke, humtaki?


Nashukuru kwa yote mliyonitendea Mungu atawamwaga Motoni kwani mmesababisha nisifanyiwe upekuzi yakinifu.
Haya bhana me narudi zangu Kijijini.
Nisalimie wake wenzako
BADILI TABIA na Yummy pamoja na mume wenu Asprin,
Ni yule yule daima,
AmKATRINA
 
Last edited by a moderator:
mke mwenza upo? hana tbs kwa kweli ya kukaguliwa na hubby wetu! anyways muelekeze akapekuliwe na wakina Young_Master na wenzie, haodio size yake! mgeni umetusikia?
cacico ndio system gani hiyo ya kukaribisha wageni? Embu muelekeze ofisini kwangu aje nimfanyie upekuzi. Vigezo na masharti kuzingatiwa.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…