shshshshshsh hiyo siri yangu! akiona yupo mwenyewe nampa pole tuko kibao, tunaokwangua ukoko wake!Eti, ni kichwa kipi ukiaminicho zaidi malaika wangu? Shhhhiiii usiseme kwa sauti wakora wengi hapa watakunyang'anyia ODM wako wamgande kama ruba.:spy:
kama una hasira mie kupendwa na hubby wangu! KADEKI BAHARI MAMA, upunguze stress! ANZIA OCEAN ROAD, ILI UKIZIDIWA UWAHI HOSSY! LOL! AmKATRINA morning!
nampa adimu! anapata tanzanite, sio rahisi kuibiwa jumla! atawakagua lakini makazi ni kwangu, hainipi shaka! mzima weye? mi ndio najiandaa kuja kwenye party, nataka nitoke kivingine kabisa, mtatuona na hubby tukifika!Shost mbona wanipa mashushu tena mpaka natamani ardhi ifunuke niingie?
Morning njema tu,niko hapa ghorofani nakula kiyoyozi huku nawalia chabo wapita njia kwa chini chini mama,ila shost kua nae beneti mumeo kuleee kwenye B'day ya Erickb52,
c unajua tena mashori na maduu tutakuwa wa kumwaga leo?
Unaweza ukamuacha kulekule Asprin wako,ohoo!
nampa adimu! anapata tanzanite, sio rahisi kuibiwa jumla! atawakagua lakini makazi ni kwangu, hainipi shaka! mzima weye? mi ndio najiandaa kuja kwenye party, nataka nitoke kivingine kabisa, mtatuona na hubby tukifika!
heheheheiya! hubby we ni kiboko! wakipuliza chini, we unapuliza juu! chezeiya ODM weye! STUKA hubby STUKA! mgeni simuelewi kabisaaaaaaaaaa!
kama una hasira mie kupendwa na hubby wangu! KADEKI BAHARI MAMA, upunguze stress! ANZIA OCEAN ROAD, ILI UKIZIDIWA UWAHI HOSSY! LOL! AmKATRINA morning!
morning hubby! mwahhh!
Hivi AmKATRINA hujui kuwa limbwata aniwekealo cacico huwa nalinunuaga mwenyewe? cacico popote ulipo mamii, hebu nambie kama linakaribia kuisha nikuletee jingine. Mi hata nikikufumania sikuachi wallah!!Shost mbona wanipa mashushu tena mpaka natamani ardhi ifunuke niingie?
Morning njema tu,niko hapa ghorofani nakula kiyoyozi huku nawalia chabo wapita njia kwa chini chini mama,ila shost kua nae beneti mumeo kuleee kwenye B'day ya Erickb52,
c unajua tena mashori na maduu tutakuwa wa kumwaga leo?
Unaweza ukamuacha kulekule Asprin wako,ohoo!
pichu hubby, pichu ndio nataka! mwahhh!Khaaaa! Kama kawaida yako, you are always there when I need you the most!
Morning my love. Hebu nambie leo nikuletee nini?
hapo alikuwa anamfundisha tuu Mhe namna ya kucheza music ila nilikuwepo namuangalia sana
Na hapo alikuwa anamuuzia nani sura?