Mimi ODM... Nitoke na nani leo??

Mimi ODM... Nitoke na nani leo??

tema mate chini hubby! ukiniacha, mi nahamia mars! dunia tena itakuwa haifai kwangu, leo unanitoa out?
Wife material mbona unazeeka vibaya? Nisipokutoa out ukasononeka mi ntaishije? Hujui msononeko wako ni adhabu kwangu? Kwa lugha nyepesi, unauliza shehe mstikitini?
 
Wife material mbona unazeeka vibaya? Nisipokutoa out ukasononeka mi ntaishije? Hujui msononeko wako ni adhabu kwangu? Kwa lugha nyepesi, unauliza shehe mstikitini?
unajua kunibembeleza, ndio haswa nilichokupendea! sitoki kwako ng'o! basi usisononeke! nipo kwako tu!
 
hakuna wa kunituliza moyo bila wewe cacico
nitampa babu sumu aondoke duniani kukupata tuu wewe
kombolela lako ni moto mbaya
Wife material alishaniapia cacico alishaniapia hawezi kuniruhusu nife kabla yake. Ikitokea ukaniua ujue kishatangulia peponi anasubiri kunilaki. Penzi la peponi tamuje my wife material?
 
Last edited by a moderator:
babu Asprin hivi ule mzinga wa Jack Daniel umemaliza maana nataka nikuletee mwingine leo
Ila umtume 'cacico aje auchukue hapa nyumbani
Jack Daniel wenzio ndo twaifanya chai... haina usumbufu kwenye mbongo ya ODM.
 
Young_Master nilikuta cheti chako kimedondoka pale njini kati pale sokoni wamama wauza nyanya wanakiongelea aise
Ndo maana nikasema nije nikupe pole na nimchukue mkeo cacico kwenda kucheza nae kombolela ni hilo tuu
Anajua tunakutana wapi so naomba kwa mchana huu kabla hajaenda kwa Babu Asprin nicheze nae kombolela
mhhhhhh! jamani maumbeya haya, lol! kwaresma bado, cjui mtatubu saa ngapi?
 
Nimezisikia kelele za chura honey, eti zaweza ninyima mie tembo kunywa maji kwenye kikombe chako malkia wangu?

Babu unajua kudanganywa aise
Hapo hebu muulize hiyo perfume anayonukia kaitoa wapi
Na muulize lile gauni alivaa juzi kalitoa wapi japo alikudanganya kuwa amelipwa pesa za mchezo ndo akanunua
Halafu muulize vile viatu na mkoba mpya anaosema eti kaazima kwa Kaunga
Na then mwezi uliopita alileta kitanda kipya eti anasema amekopa kwa fundi mangi pale mtaani
Na hiyo simu na ipad anayokuambia kuwa eti kakopa kwa mpemba pale mtaani kwako
Toka lini duka la mpemba la mtaani wakauza BB na Ipad aise
 
Last edited by a moderator:
Babu unajua kudanganywa aise
Hapo hebu muulize hiyo perfume anayonukia kaitoa wapi
Na muulize lile gauni alivaa juzi kalitoa wapi japo alikudanganya kuwa amelipwa pesa za mchezo ndo akanunua
Halafu muulize vile viatu na mkoba mpya anaosema eti kaazima kwa Kaunga
Na then mwezi uliopita alileta kitanda kipya eti anasema amekopa kwa fundi mangi pale mtaani
Na hiyo simu na ipad anayokuambia kuwa eti kakopa kwa mpemba pale mtaani kwako
Toka lini duka la mpemba la mtaani wakauza BB na Ipad aise

Ongeza kumnunulia na Lamborghini bana, mwisho wa siku navitumia mie kwa raha zangu. We wagharamia mie nala. Mie nampenda akiwa uchiiii weye wampenda akiwa kavaa? cacico come this way my love, come without ok??
 
Last edited by a moderator:
Ongeza kumnunulia na Lamborghini bana, mwisho wa siku navitumia mie kwa raha zangu. We wagharamia mie nala. Mie nampenda akiwa uchiiii weye wampenda akiwa kavaa? cacico come this way my love, come without ok??


Kwani unafikiri anazipata bure aise
Kuna cha bure siku hizi nipe nikupe bana
 
Nimezisikia kelele za chura honey, eti zaweza ninyima mie tembo kunywa maji kwenye kikombe chako malkia wangu?
tena kunywa mpaka upaliwe! ni wewe tu nimekupa funguo za mahakama!
 
Wife material alishaniapia cacico alishaniapia hawezi kuniruhusu nife kabla yake. Ikitokea ukaniua ujue kishatangulia peponi anasubiri kunilaki. Penzi la peponi tamuje my wife material?
mwahhh bby yangu! wakuacha nasema, tena wakuache kwa karne nzimaaaaa! lol
 
Babu unajua kudanganywa aise
Hapo hebu muulize hiyo perfume anayonukia kaitoa wapi
Na muulize lile gauni alivaa juzi kalitoa wapi japo alikudanganya kuwa amelipwa pesa za mchezo ndo akanunua
Halafu muulize vile viatu na mkoba mpya anaosema eti kaazima kwa Kaunga
Na then mwezi uliopita alileta kitanda kipya eti anasema amekopa kwa fundi mangi pale mtaani
Na hiyo simu na ipad anayokuambia kuwa eti kakopa kwa mpemba pale mtaani kwako
Toka lini duka la mpemba la mtaani wakauza BB na Ipad aise
tena ulivyokuwa unanihonga visenti vyako, na mi mbio kumnunulia Asprin zawadi! upo hapo??
 
Last edited by a moderator:
mwahhh bby yangu! wakuacha nasema, tena wakuache kwa karne nzimaaaaa! lol

Shhhhhhhhhh cacico angalia kwenye mkoba wako kuna line yangu aise ya voda naomba uifiche
Halafu kuna business card ya yule jamaa anayetakiwa kukuletea ile kitu tumeongea na ule mkopo aise
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom