Mimi ODM... Nitoke na nani leo??

Mimi ODM... Nitoke na nani leo??

Kweli kabisa hakuguswa cacico uje tena kesho eeehh hii kombolela imenichosha sana aise
Mpaka kitanda changu kimevunjika kwa sababu ya kucheza kombolela
We cacico uwe unachezea chini bana hii biashara ya kupeleka kitanda kwa fundi nani ataiweza sasa
khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwani shaaban robert aliacha mrithi na mtunzi wa kutunga hadithi??? mbona mauongo hivyo jamani? jamani my hubby Asprin mi luv uuuuuuu!
 
Last edited by a moderator:
Hapa wamesoma hao vijana wanaotaka kuniibia tundi? Hebu waelezee na busu zangu zilivyo za moto kwenye mashavu yote ya juu na ya chini....:baby:
chezeiya ODM weye?? watu wanataka hati miliki wamiliki, wakati wenye navyo waliwahi kitambooooooo! mwahhhh hubby wangu!
 
Last edited by a moderator:
tena hili swala liko mahakamani kwa taarifa yako! hubby dont listen kwa hawa watu plzzzzzzzzz!

khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwani shaaban robert aliacha mrithi na mtunzi wa kutunga hadithi??? mbona mauongo hivyo jamani? jamani my hubby Asprin mi luv uuuuuuu!

babu Asprin huyu mkeo ana matata sana
mwambie aondoe tatoo aliyochora kwenye mapaja aiondoe bana
Na ile ya pale mgongoni ya kipepeo mwambie akolezee rangi imefutika
Na ile ya kwenye kwapa ile ya tai mwambie iko njema sana cacico usiache kuja na vile vyupi vyako vyekundu tena maana nimevipenda sana
 
Last edited by a moderator:
tena hili swala liko mahakamani kwa taarifa yako! hubby dont listen kwa hawa watu plzzzzzzzzz!
Ushasahau wayasemayo watu juu yako mie huwa kiziwi? Kwani wamesema nini?
 
babu Asprin huyu mkeo ana matata sana
mwambie aondoe tatoo aliyochora kwenye mapaja aiondoe bana
Na ile ya pale mgongoni ya kipepeo mwambie akolezee rangi imefutika
Na ile ya kwenye kwapa ile ya tai mwambie iko njema sana cacico usiache kuja na vile vyupi vyako vyekundu tena maana nimevipenda sana
kwani una ukoo na zoka??? jk je ni ndugu yako?? khaaaaaaaaaa!
 
Ushasahau wayasemayo watu juu yako mie huwa kiziwi? Kwani wamesema nini?
eti wanasema mi na wewe tunapendana sana! wanaona wivu mpaka wanatake ndoa yako ivunjike, lol! usisahau plan b, i cant wait! mwahhhh hubby wangu!
 
tena utukome, tutaandamana, inaelekea Asprin anajua kuchoose asee, wake zake wote ni tanzanite, lol!


Hahahah
Mnamzuga Babu akilala akianza kukoroma wote mnamtoroka mnakuja kucheza kombolela kwetu
Mnamvizia Babu akienda kuhemea mpunga au kutafuta ugoro mnakuja kucheza kombolela kwetu
 
Ukirudi nyuma utamkosa ODM, eti honey pumzi yako inakutosha bila ODM pembeni yako?
tema mate chini hubby! ukiniacha, mi nahamia mars! dunia tena itakuwa haifai kwangu, leo unanitoa out?
 
Last edited by a moderator:
Hahahah
Mnamzuga Babu akilala akianza kukoroma wote mnamtoroka mnakuja kucheza kombolela kwetu
Mnamvizia Babu akienda kuhemea mpunga au kutafuta ugoro mnakuja kucheza kombolela kwetu
Mr Rocky, kuna mgeni anaitwa AmKATRINA hebu fuatilia nyendo zake, aweza tuliza moyo wako, lol!
 
Last edited by a moderator:
tema mate chini hubby! ukiniacha, mi nahamia mars! dunia tena itakuwa haifai kwangu, leo unanitoa out?

Tushampa babu hela ya kukutoa cacico usiwe na wasi wasi we endelea tuu kumpapasa papasa Babu huenda ukaambulia mtoko leo maana Yummy na BADILI TABIA nao wanasubiri
 
Last edited by a moderator:
Ukiona wanacheat ujue wameenda kuangalia ni kitu gani kinachowafanya wanawake wengie walalamike hawafikishwi mlima Kibo? Wakishajua wanarudi fasta kupandishwa kilimani na hubby wao... Eti Yummy, BADILI TABIA na sweetpie cacico naongopa hapa?
worrrrrrrrrdddddddd! msg sent and delivered! tena muhusika amesave kabisaaaaaaa! mwahhhh!
 
Back
Top Bottom