Mimi ODM... Nitoke na nani leo??

Hebu mpe kwanza ile FreeStyle yangu ya wakgti ule.

Achana nao hawa hunny we twende zettu kwenye besidei ya Erickb52 baadae ni kujimwaga watu waone free style yetu cacico kiuno kimekomaa utafikiri anauza nyanya sokoni aise
Akicheza kwaito anaharibu kila kitu watu wanaenda kushoto yeye anaenda kulia
 
Last edited by a moderator:
Asavuali nimikuona
Maana kiroho kilikuwa kinanidunda mbaya
Welikam my sweet heart sweet potato AmKATRINA
Yaani na hii baridi wewe ndo mwenyewe kabisa
Ahhh cacico ajinyonge tuu kwa big gee aise maana ana wivu kama nini

Basi kwa Heshima na taadhima kwa nia ya kunusuru vita,naomba nibebe lile jambia lenye makali kotekote.
 
Last edited by a moderator:
Punguza mbwembwe wewe.
Kama vipi mtie cacico kwenye Briefcase uende nae kazini kwako,
ila ukimuacha hata nukta moja,watu wanamnyakua mazima.

Kwenye briefcase akose hewa? cacico nimemtia kumoyo.... hata wakimnyakua atawatoroka na atarudi kwangu, nami ntampokea kama bikira vile. Chezeya mai wife material??

 
Last edited by a moderator:
Mr Rocky nenda mahali utakuta comment ya Amyner na analalamika alivyonimiss
Amyner amekumiss
Mhhh alikuwa anatikisa kiberiti since najua kwa sasa yuko sehem kajiattach hana hata muda na wewe
Kwanza hata mwaliko wa besidei hujampelekea na then akumiss wapi sasa
 
Last edited by a moderator:
Haya bhana,ila kesi yake akija kuteleza cjui itakuwaje.
nilijitoa mwenyewe kwa yule mpekuzi! ila hapa kwa ODM nimefika, mwenye hasira nami nimesema akadeki bahari. PERIOD!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…