Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza mbwembwe wewe.
Kama vipi mtie cacico kwenye Briefcase uende nae kazini kwako,
ila ukimuacha hata nukta moja,watu wanamnyakua mazima.
Hhahaaaa ntaviona tuAtafungwa mfuko wa Nailoni usoni,asivione vya mbele yake.
Amyner amekumiss
angalia usijeishia futa mavumbi mawingu, naona umepanik!Haya bhana,ila kesi yake akija kuteleza cjui itakuwaje.
bby mgeni anaumia sana, we kunipenda, khaaaaaaa! mi luv u hubby, sana tu!Kipindi hiki nampikia mie, ye yuko bize kula hii makitu. Si unajua tena?
![]()
ndiyo mguu wangu haswaaaaaa! hubby eti mi nadanganya??? hebu mwambie huyu unavyojilia mautamu yako! lolDah hicho kiatu na huo mguu mh vimetulia sanaaaa
nilijitoa mwenyewe kwa yule mpekuzi! ila hapa kwa ODM nimefika, mwenye hasira nami nimesema akadeki bahari. PERIOD!Haya bhana,ila kesi yake akija kuteleza cjui itakuwaje.
unauliza samaki baharini???kakupikia chakula kwanza?