Mimi ODM... Nitoke na nani leo??

punguza mbwembwe wewe.
Kama vipi mtie cacico kwenye briefcase uende nae kazini kwako,
ila ukimuacha hata nukta moja,watu wanamnyakua mazima.
usiumie dada! Napendwaje eeeeeee mimi jamani?? Mpaka najichukia wallah! Hubby mi luv u too! Sana tu tena!
 
bby umenikumbusha that day! Was sooooooo sweet! Cant wait again, and again! Lol! Mwahhhhhh hubby wangu!
Na si unajua bado nlikuwa sijamaliza kitabu?

Vumilia maisha yangu, utakula vya kwangu...
 
Hahahaaaaa.....
Ni nepi iliyotokana na kuchanwa kwa khanga.

umenikumbusha mbali, ni nzuri maana hazichubui, hawa wa cku izi bila pampers eti hawalali! chezeya kisempele!
 
Unataka wa kukagua au wa kukuchuna?
 
Nipo nimejaa tele mjukuu wa babu! nipe habari shostito.

khaaaaaaa KARIA upo?? mi mithd u lol! nimekuona hapa moyo wangu umepoa! ukimuona pia Kaizer msalimie sana!

mimi hapa cacico,na ukiendelea hivinakuripoti kwa mod Erickb52! khaaa

Hommies Kaizer, KARIA na Erickb52 msifikiri nimekuja kuleta amani kwenu juu ya mke wangu cacico, laa, nimeleta upanga. Nna uwezo wa kuvibomoa vikojoleo vyenu na kuvijenga upya kwa siku tatu.
 
Last edited by a moderator:
naam Erickb52 umeona eee?? umeona maloveeee! huyu babu cjui kaniloga?

Sijakuloga hun, si unajua unanibebea babyboy wangu? Lazima nikuenzi kwa malovee.... Na hiki kigauni nlikutengenezea mahsusi ili babyboy wetu apate fresh air. Hapa najua wake wenzio BADILI TABIA, Yummy chini ya usimamizi wa Kongosho watasema nakupendelea. Na AmKATRINA atakuoneaje wivu sasa?

 
Last edited by a moderator:
wallah sijuagi kichwa chako huwa kinawaza nini?? ila nimekupenda tu hivyo ulivyo khaaaaaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…