Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bby umenikumbusha that day! Was sooooooo sweet! Cant wait again, and again! Lol! Mwahhhhhh hubby wangu!honey niweke ile ya mtoko au hii ya kupeana ya motomoto?
![]()
Hahahaaaaa.....
Ni nepi iliyotokana na kuchanwa kwa khanga.
Nipo nimejaa tele mjukuu wa babu! nipe habari shostito.
khaaaaaaa kisa cha kuniripoti, kwanza mbona sikusomi pande zile? hebu njoo bana!
naam Erickb52 umeona eee?? umeona maloveeee! huyu babu cjui kaniloga?
wallah sijuagi kichwa chako huwa kinawaza nini?? ila nimekupenda tu hivyo ulivyo khaaaaaaa!Sijakuloga hun, si unajua unanibebea babyboy wangu? Lazima nikuenzi kwa malovee.... Na hiki kigauni nlikutengenezea mahsusi ili babyboy wetu apate fresh air. Hapa najua wake wenzio BADILI TABIA, Yummy chini ya usimamizi wa Kongosho watasema nakupendelea. Na AmKATRINA atakuoneaje wivu sasa?
![]()