Mimi ODM... Nitoke na nani leo??

Besteee! Leo bethdei ya shostee afu mpaka sasa hajakumbuka. Ntamsapraizeje sasa? Ataniambiajee??
haaaaaaaaa! besteee am happy fo ya guys, sasa yule mwanga alitaka kuvuruga siku nzuri kama hii kweli?? mbona haiswiii jamani?? msalimie sana! muimbie, then tekeleza plan B! mwahhhhhh!
 
hubby mwambie avue kabisa! maana ukisema utamvua, usije ukakutana na mnara mume wangu ukapata shinikizo la damu ghafla, mwambie ajichojoe na asilete hadithi ka za TISS!

Ewaaa ye ajivulie tu, kuvuliwa anavuliwa wife bana. Nakuvuagaje thatha??
 
haaaaaaaaa! besteee am happy fo ya guys, sasa yule mwanga alitaka kuvuruga siku nzuri kama hii kweli?? mbona haiswiii jamani?? msalimie sana! muimbie, then tekeleza plan B! mwahhhhhh!

Plan B hoyeeeee! Mmwaah! Me luvs u wife material. Khaa!
 
Hebu mpeleleze... Mbona kama mwandiko wake naujua? STUKA wifey stuka!
nilitaka kukupm kukwambia same issue! kuwa mbona kama muandiko wake naufahamu, lol! job true true hubby! hubby na we uwe unakuja kivingine wallah itasaidia! khaaaaaaaa!
 
i cant wait! nina hamu na uji wa kungu ummu kulthum, wallah! naumiss pia uji wa shanga wa arusha kule mitaa ya sokoni, huwa nakwenda na thermos kabisa! lol

jamani kumbe waupenda uji bwana upikwe na mpikwaji unakuwa mtamu kama..........................mhhh mwenzio unapoa nasubiria dakika tu nianze kuunywa atiiii!!
 
nilitaka kukupm kukwambia same issue! kuwa mbona kama muandiko wake naufahamu, lol! job true true hubby! hubby na we uwe unakuja kivingine wallah itasaidia! khaaaaaaaa!

jamani mwanifananisha na nani ati?
 
jamani kumbe waupenda uji bwana upikwe na mpikwaji unakuwa mtamu kama..........................mhhh mwenzio unapoa nasubiria dakika tu nianze kuunywa atiiii!!
wanitamanisha ujue ummu kulthum, wallah naupenda. halafu unalevya vibaya, ukiwa kwenye mood ule uji, lol! upate kungu la comoro lakini, sitasahau mautamu yake!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…