Mimi ODM... Nitoke na nani leo??

Khaa! Ushafika mara? Uko with au without?

jamani nipo without,coz nahtaji niwe frii,
nahtaji upekuzi yakinifu ndo mana nimekuja mapema.
Asprin basi waite vijanao wanipembue Chuya na Mchele,Makoko to Matandu ati.
 
Last edited by a moderator:
na ndugu yangu flani hivi? mna miandiko ya kufanana kabisaaaaaaaa! na hubby anaujua muandiko wa huyo ndugu yangu, TUMESTUKA khaaaaaa!

Basi labda humu Jf tuko Flatn twins!
Huwezi jua mamito.
 
nilitaka kukupm kukwambia same issue! kuwa mbona kama muandiko wake naufahamu, lol! job true true hubby! hubby na we uwe unakuja kivingine wallah itasaidia! khaaaaaaaa!

Hahah! kuku mgeni hata kamba mguuni hana? Ama kweli ukiona jogoo posta jua kaletwa na ana mwenyewe.
 
Basi labda humu Jf tuko Flatn twins!
Huwezi jua mamito.
yaani ni wewe kabisaaaaaaaaa! ndio maana nimesitisha kukupa like zangu! ila ni vizuri unavyofanya, unafaa kuajiriwa kwa zoka! we na TISS ni kama riz1 na vasco! lol, haya karibu kwa mara nyingine.
 
yaani ni wewe kabisaaaaaaaaa! ndio maana nimesitisha kukupa like zangu! ila ni vizuri unavyofanya, unafaa kuajiriwa kwa zoka! we na TISS ni kama riz1 na vasco! lol, haya karibu kwa mara nyingine.

cacico jamani,
me mgeni nimekuja leo mara ushanifananisha na mwenyeji.
Haya mwenyeji gani huyo nliefanana nae?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…