Mimi sijawahi kuwa mvuta bangi maisha yangu yote na kama ninavuta mungu ananiona

linex bangi Umeacha lini?? Wadanganye wengine sio Mimi
 

Kumbe anawajua???
:bange::bange::bange:
 
20 P Nae Aunge Tela
Itakuwa Wanamzushia Bure Kama Mjeda!!
 

Mse.nge huyo kavuta sana bhangi makongo
Anatoka Sinza kwa mapacha kwa miguu mpaka makongo
Leo anajifanya haijui bangeeee
Manina
 
Mbona rais Uhuru Kenyatta mdomo wake mweusi naye anavuta bhange?

Yah. Uhuru Mwigai Kenyata anachoma herb vizuri sana.
Hata ivyo bangi haina tatizo.
Inapigwa vita ili sigara iuze maana ikiruhusiwa sigara ndio byebye.
Maana bangi inaota popote na haihitaji mbolea.
 
Hata marehemu Kanumba alikanusha katika kipindi cha mkasi kuwa hana girlfriend na kuwa hanywi pombe. Haikupita hata mwezi alikufa akikutwa na high brand whysk na girfriend minor Lulu. Tatizo mnataka mkamatwe kwanza na ngozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…