Tuombeane mema mkuuLeo tena kilioView attachment 2613253
Mwamba ni mashine yuleKwani mnatoka kwa dune? Labda mashinde njaa!!!
Utasikia prince dubeeeeeee ni yule yule kawakojolea tena !!! Hahahhahhaha [emoji38][emoji38][emoji38].
Timu zote zilizotolewa michuano ya Africa sasahv zinachezea vichapo tu !!!
Niko pale [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Mbona msimu uliopitaa Simba hakuchukua kombe lolote na bado walisajilii wachezaji wa hovyo ambao hakuna ata mmojaa Alie ingia kwenye first 11"Mechi ni ngumu, lakini mimi natamani tufungwe na Azam halafu Yanga watwae kombe la CAFCC ili Simba tupate uchungu tusisajili akina Sawadogo tena"
"Unajua tukishinda na tukafanikiwa kuchukua (FA) navyowajua viongozi wa Simba hawatasajili Wachezaji wa maana na kujiaminisha kuwa tuna timu nzuri wakati sio kweli"
[emoji2399] Nabii Meja
Mwanachama wa Simba Via Ea radio.
NB: Simba mbna wanawachezaji wazuri sana ??????