Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
"Mechi ni ngumu, lakini mimi natamani tufungwe na Azam halafu Yanga watwae kombe la CAFCC ili Simba tupate uchungu tusisajili akina Sawadogo tena"
"Unajua tukishinda na tukafanikiwa kuchukua (FA) navyowajua viongozi wa Simba hawatasajili Wachezaji wa maana na kujiaminisha kuwa tuna timu nzuri wakati sio kweli"
[emoji2399] Nabii Meja
Mwanachama wa Simba Via Ea radio.
NB: Simba mbna wanawachezaji wazuri sana ??????
"Unajua tukishinda na tukafanikiwa kuchukua (FA) navyowajua viongozi wa Simba hawatasajili Wachezaji wa maana na kujiaminisha kuwa tuna timu nzuri wakati sio kweli"
[emoji2399] Nabii Meja
Mwanachama wa Simba Via Ea radio.
NB: Simba mbna wanawachezaji wazuri sana ??????