Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
changamoto ili kuboresha wazo Hili:
1. Watanzania hatuna utamaduni wa kununua packed foods km Mchele. Kwa mentality tu, wengi wanahisi KUPIGWA! mf Kilombero Sugar wanapack sukati 1 kg lkn Bado watu wanaamini ya kupima kwa mzani!
2. Ukiupack huo Mchele usijpeleke dukani. Utadoda! Kama kusambaza labda uwasambazie watu maofisini. Angalia changamoto ya usafiri hapa!
3. Maisha ya kukariri. Ukmpelekea mama Mchele Ofisini kwake kwa 2500 pkg atawanong'oneza wenzake "HUU MCHELE KWA MANGI ANAUZA 2100!
4. Kuna cha ziada lazima ukijue, wamama wa kitanzania wengi Wao kuchambua Mchele sio tatizo na kwa hiyo hawaoni sababu ya kununua packed rice. Kwao kuchagua Mchele ni sehemu ya socialization!
5. Kwa business kama hii, lazima ujipange kwa mtaji mkubwa ili market Penetration yako iwe kuwakopesha huko maofisini then baadae ndio unaenda cash ba cash
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Watanzania hatuna utamaduni wa kununua packed foods km Mchele. Kwa mentality tu, wengi wanahisi KUPIGWA! mf Kilombero Sugar wanapack sukati 1 kg lkn Bado watu wanaamini ya kupima kwa mzani!
2. Ukiupack huo Mchele usijpeleke dukani. Utadoda! Kama kusambaza labda uwasambazie watu maofisini. Angalia changamoto ya usafiri hapa!
3. Maisha ya kukariri. Ukmpelekea mama Mchele Ofisini kwake kwa 2500 pkg atawanong'oneza wenzake "HUU MCHELE KWA MANGI ANAUZA 2100!
4. Kuna cha ziada lazima ukijue, wamama wa kitanzania wengi Wao kuchambua Mchele sio tatizo na kwa hiyo hawaoni sababu ya kununua packed rice. Kwao kuchagua Mchele ni sehemu ya socialization!
5. Kwa business kama hii, lazima ujipange kwa mtaji mkubwa ili market Penetration yako iwe kuwakopesha huko maofisini then baadae ndio unaenda cash ba cash
Sent using Jamii Forums mobile app