ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Niwe tu mkweli bado sijaona sababu za kufeli maisha mazuri hapa Tanzania kwa sababu mimi nimekuja duniani na nimekuta mazingira yote nayoyataka sasa kwanini nipinge formula nzuri kama hio.
Yaani nchi yenye ardhi inilishe na kuninywesha halafu niikanyage Kwa dharau hio ardhi sitaki.
Nishatosheka na MAZINGIRA imebaki ni fight kwenda MBINGUNI siwezi eti niteseke na Wezi wakati najua wako wengi sana.
Tuongee tu ukweli unatesekaje na ma mifumo najua ndio kuna kero katika maisha ila kero nyingine zinakunyimaje raha na kufaidi faidi na kufurahia.
Yaani nitoe mfano serikali iamue tukwate hela fulani kwenye chanzo fulani unakuta ni hela ya kawaida tu ambayo sio kubwa haitishi mimi kwanini niogope maisha hayo nitasikitika siku ukinambia Masoko na magenge na bar imegoma kutoa huduma.
Ila sio maduka kwanza me sio mdau wa kununua simu, nguo, vifaa, wala materials.
PIA SOMA
- LIVE - Yanayojiri Maandamano Kenya: Waandamanaji wafika Bungeni, wawili wauawa kwa risasi
Yaani nchi yenye ardhi inilishe na kuninywesha halafu niikanyage Kwa dharau hio ardhi sitaki.
Nishatosheka na MAZINGIRA imebaki ni fight kwenda MBINGUNI siwezi eti niteseke na Wezi wakati najua wako wengi sana.
Tuongee tu ukweli unatesekaje na ma mifumo najua ndio kuna kero katika maisha ila kero nyingine zinakunyimaje raha na kufaidi faidi na kufurahia.
Yaani nitoe mfano serikali iamue tukwate hela fulani kwenye chanzo fulani unakuta ni hela ya kawaida tu ambayo sio kubwa haitishi mimi kwanini niogope maisha hayo nitasikitika siku ukinambia Masoko na magenge na bar imegoma kutoa huduma.
Ila sio maduka kwanza me sio mdau wa kununua simu, nguo, vifaa, wala materials.
PIA SOMA
- LIVE - Yanayojiri Maandamano Kenya: Waandamanaji wafika Bungeni, wawili wauawa kwa risasi