Mimi siwezi kuandamana nchi nzuri kama Tanzania

Tahila hawezi kuandamana maana yeye akishiba anaona kama yuko mbinguni. Wanao andamana ni watu wenye akili timam .
 
😁😁😁 Jaribu basiiii kuwafata hao mabeberuu tuonee
Babu zetu wangekua na akili za kindezi kama zako leo wazungu wangekuwepo lakini walipambana leo kijana km ww kuna watu wanakula kodi zenu wanauza rasilimali zenu uko kimyaaaaa dah hasara hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…