Nashukuru loveSijambo kabisa
Ukipenda muite Shunie minyota kipepeo.Shunie minyotaaaaa[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]
Haki tena nakuambia kuna majitu yanasifa humu balaa...kichefuchefu kabisaa....!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haki tena nakuambia kuna majitu yanasifa humu balaa...kichefuchefu kabisaa....!!!
Mpk wajiuliza huyu vipi,karogwa au kavurugwa na maisha!
Hawezi kufurahi kwa sababu anamfatilia ndo maana akamuandikia Uzi...ili auone![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] maisha murua kabisa kwangu starehe nzuri mno. Napenda kuwa hater kuliko kuwa rafiki. Maisha mafupi haya ishi utakavyo. Demiss ukija endelea na life yako ya JF kama kawada huu uzi ni kumuongezea furaha ur hater.
Hawezi kufurahi kwa sababu anamfatilia ndo maana akamuandikia Uzi...ili auone!
Mods tu wamembania...nusu amlipue hapa...!!!hapa!!!!
Wewe waweza mwenzio hawezi ndo maana kabakia kusoma tu...na kupita km greda vile....!!!May be kila mtu na moyo wake mie nikiandikiwa uzi wa hivi nitafurahi,nitajaa kwenye huo uzi mwanzo mwisho
Kuna mtu ananisumbua huku mtaani nataka nikukabidhi umchambe[emoji23] [emoji23]Waooo wametoa bann[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji1] [emoji1] [emoji4] [emoji4] [emoji4] atazimia ujue!Kuna mtu ananisumbua huku mtaani nataka nikukabidhi umchambe[emoji23] [emoji23]
Hahaha,unaonekana upo vizuri![emoji1] [emoji1] [emoji4] [emoji4] [emoji4] atazimia ujue!
Halafu ni muoga balaa!kuandika hapa ntamaliza pagesHahaha,unaonekana upo vizuri!
Nasubiria uzi wako na wewe umuweke kati wakwako!Halafu ni muoga balaa!kuandika hapa ntamaliza pages
[emoji4] [emoji4] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji4] sinaga miye hizi mbwembwe tu!muoga miye balaaaNasubiria uzi wako na wewe umuweke kati wakwako!
Kwa jicho hilo kwenye Avatar,huwezi kuwa muoga![emoji4] [emoji4] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji4] sinaga miye hizi mbwembwe tu!muoga miye balaaa
Eenh bado upo nayo tu sio mm huyo umeona mwenye picha yake kaja kudaiYa avatar
Waooo wametoa bann[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]