wilsmam
Member
- Jun 27, 2018
- 22
- 18
UmenenaMfalme Suleiman anasema;
Nimejaribu kila kitu chini ya jua nikagundua kila kitu ni ubatili na kujilisha upepo.
Alisifiwa kila kona kwa hekima na utajiri lkn akagundua ni ubatili mtupu. Akafunua kila kyupi cha mwanamke wa ukoo wa kifalme na mtoto wa fukara akaona hazina tofauti akasema huo nao ni ubatili mtupu.
Kupendwa au kuchukiwa ni ubatili mtupu.
Nikikuchukia kuna yupo anakupenda, nasema huu nao ni ubatili na kujilisha upepo.
Hakuna aliyebora na asiyebora.
Mrembo ana madhaifu yake na asiyemrembo ana uzuri wake...tatizo nini?
Chuki za nini?