Mimi siyo shoga jamani


Ali Kiba ashazushiwa kuwa ni shoga na diamond naye nadhan kuna thread ya wanja soma comments ndo utajua wabongo nuksi
 
Siku zote ukijitia unaonyesha wendawazimu utaishia kuwa mwendawazimu kiukweliukweli...
 
Ukiwa msanii utakumbwa na Mengi sana!
 
Kuna taarifa huyu jamaa alimgonga Wema, mpaka Diamond akakasirika na kumpiga staa huyo wa kike kwamba kwanini alimpa kitumbua chake adui yake, na sosi wa jambo hili alikuwa ni Shetta, sasa inawezekana Bob Junior akawa anapakuwa na kupakuliwa?
 
Mbona Fally Ipupa anakata mauno sana ila hafikiriwi ivyo??
Nadhani kuna kingine cha ziada tofauti na hayo mauno.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
rumour has it kuwa ni chakla ya koffi!
 
Jamani hata kama ndio kweli yako mwenyewe, kwa raha zako..
 
nimelipenda pozi lake na ngozi yake nyororo! mtoto maashallah
 
Najua we mbishi ,vp ngoma zetu za asili kuna mauno ya kufa mtu mbona hawaitwi mashoga? huyo kuna namna bhan

umeshasema ngoma za asili...........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…