Mimi umbali wa Dar-Chalinze naujua maana nilitembea na mke wangu mtanambia nini?

Kule India ulikoenda kutibiwa itakuwa Kuna kitu walikosea
 
Hili ni tatizo la nesi wa zamu walimuacha na mkasi kwenye ubongo.

Wee mkuu endelea tu na shemela utatukuta wenzako hapa njia panda msata tunakula nanasi.
Harusi yako imeahirishwa mpiga ngoma amegoma kuja
 
Mh huyu jamaa Arovera atakuwa hai kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…