idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,364
Watu wanakimbilia kwenye matokea tu lakini hawataki kuangalia ugumu wa mechi husika, mpira kama wa Jana ndio unaotakiwa kwenye ligi yetu.Sikubaliani na wewe! Timu iko vizuri sana ukilinganisha na misimu miwili iliyopita. Kinacho kosekana Yanga kwa sasa ni muunganiko wa timu kutokana na wachezaji wengi kuwa wapya, na pia baadhi yao kukosa utulivu na maamuzi ya haraka.
Lakini pia usisahau wachezaji wa timu nyingi ndogo wana desturi ya kukamia timu kubwa/kongwe ili kutengeneza majina na kusajiliwa baadae. Na hiki ndicho kilicho sababisha Prisons na hiyo Mbeya City kucheza mpira mkubwa dhidi ya Yanga, lakini walipocheza na KMC waliishia tu kufungwa.
Timu zote zilicheza mpira mkubwa, mwisho wa siku alietumia nafasi vizuri akaondoka na point.