Mimi Yanga ila kwa mpira ule na Mbeya City tuombe Neema za Mungu tu

Mimi Yanga ila kwa mpira ule na Mbeya City tuombe Neema za Mungu tu

Sikubaliani na wewe! Timu iko vizuri sana ukilinganisha na misimu miwili iliyopita. Kinacho kosekana Yanga kwa sasa ni muunganiko wa timu kutokana na wachezaji wengi kuwa wapya, na pia baadhi yao kukosa utulivu na maamuzi ya haraka.

Lakini pia usisahau wachezaji wa timu nyingi ndogo wana desturi ya kukamia timu kubwa/kongwe ili kutengeneza majina na kusajiliwa baadae. Na hiki ndicho kilicho sababisha Prisons na hiyo Mbeya City kucheza mpira mkubwa dhidi ya Yanga, lakini walipocheza na KMC waliishia tu kufungwa.
Watu wanakimbilia kwenye matokea tu lakini hawataki kuangalia ugumu wa mechi husika, mpira kama wa Jana ndio unaotakiwa kwenye ligi yetu.

Timu zote zilicheza mpira mkubwa, mwisho wa siku alietumia nafasi vizuri akaondoka na point.
 
O

Babuu! Mbona unatumia nguvu nyingi kujitambulisha wewe kama mshabiki wa yanga, juzi napo kwenye suala la jezi pia ulijitambulisha kama shabiki wa yanga. It seems unatumia nguvu nyingi kutuaminisha kuwa wewe ni yanga ila uhalisia wewe ni.....!
Ninauchungu na timu yangu ndomana
 
Sikubaliani na wewe! Timu iko vizuri sana ukilinganisha na misimu miwili iliyopita. Kinacho kosekana Yanga kwa sasa ni muunganiko wa timu kutokana na wachezaji wengi kuwa wapya, na pia baadhi yao kukosa utulivu na maamuzi ya haraka.

Lakini pia usisahau wachezaji wa timu nyingi ndogo wana desturi ya kukamia timu kubwa/kongwe ili kutengeneza majina na kusajiliwa baadae. Na hiki ndicho kilicho sababisha Prisons na hiyo Mbeya City kucheza mpira mkubwa dhidi ya Yanga, lakini walipocheza na KMC waliishia tu kufungwa.
Kmc wanacheza mpira unaonekana tofauti na yanga hii timu najuta kuishabikia
 
Watu wanakimbilia kwenye matokea tu lakini hawataki kuangalia ugumu wa mechi husika, mpira kama wa Jana ndio unaotakiwa kwenye ligi yetu.

Timu zote zilicheza mpira mkubwa, mwisho wa siku alietumia nafasi vizuri akaondoka na point.
Sasa yanga walivosajili kwa gharama unasumbuliwaje na timu ambayo ilikuwa ishuke daraja
 
Sikubaliani na wewe! Timu iko vizuri sana ukilinganisha na misimu miwili iliyopita. Kinacho kosekana Yanga kwa sasa ni muunganiko wa timu kutokana na wachezaji wengi kuwa wapya, na pia baadhi yao kukosa utulivu na maamuzi ya haraka.

Lakini pia usisahau wachezaji wa timu nyingi ndogo wana desturi ya kukamia timu kubwa/kongwe ili kutengeneza majina na kusajiliwa baadae. Na hiki ndicho kilicho sababisha Prisons na hiyo Mbeya City kucheza mpira mkubwa dhidi ya Yanga, lakini walipocheza na KMC waliishia tu kufungwa.
Sasa hivi ndio mnajua timu ndogo zinakamia ngojeni mtoke nje ya Dar sijui mtatoa sababu gani
 
Hakika nisiwe mnafiki mimi kama mwanachama na mshabiki kindakindaki wa timu ya Wananchi au kwa jina lingine mabingwa wa kihistoria hadi dakika hii sijaona cha maana walichofanya timu yangu uwanjani.

Kuanzia kwenye muunganiko wa kikosi ni zero, fitness ya wachezaji zero, hakuna ubora wa kikosi zaidi ya kuona wakirukaruka tu.

Hakika Yanga yetu bado kabisa ina kazi kubwa sana ili kufikia ubora wa wapinzani wetu Msimbazi.

Angalizo: Hiki kikosi kikiendelea kucheza namna hii hakika nawaambia mwaka huu tunapigwa chuma 6 na Msimbazi.
Wee hata mpira hujui nadhani, yaan lile kandanda la Yanga unasema hamna kitu, duuh!!

Simba ndo hatuoni ule mpira wao wa msimu uliopita. Sijui wamepatwa na nini
 
Mbeya City alipigwa nne na ihefu juzi tu,leo anaisumbua Yanga mpaka wanapata goli kwa taabu sana tena kwa bahati.
 
we ndio mpumbavu kweli , hushangai simba ilivyosumbuliwa na timu iliyopanda daraja ihefu mpaka ikashinda kwa kubebwa na refa?
Akili huna wewe sasa mpira aliocheza simba siku ile unaweza kufananisha na makirikiri ya jana
 
Wee hata mpira hujui nadhani, yaan lile kandanda la Yanga unasema hamna kitu, duuh!!

Simba ndo hatuoni ule mpira wao wa msimu uliopita. Sijui wamepatwa na nini
We jamaa hauko serious kandanda lipi limepigwa na yanga
 
Back
Top Bottom