Mimi Yanga ila mwaka huu Simba wametuzidi kwenye jezi

Babumawe

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2014
Posts
2,556
Reaction score
2,571
Hakika nimetoka kuona jezi zetu mpya wana janngwani nimekuwa disappointed kwakweli, sikuwahi fikiria kusubiri kote kule wangetuletea vituko kama vile aisee..

Jezi kuna ramani humohumo, jezi ina ukungu humohumo, designer wetu sijui wamekwama wapi mbona wenzetu simba jezi zao mzuri aisee, jezi za simba rangi imetulia isitoshe ata designer wao hakutaka kucomplicate sana lakini uzi umetoka bomba.

Angalizo:: management yetu ya yanga sisi ndo wanunuzi sasa mkiendeleza kutuletea jezi kama hizi tena sie tunasema kabisa tutaanza kuvaa jezi za msimbazi
 
...
 
Msukule wa Mwalimu nguli na mbobevu wa Madrasa Wivu utakuua Mzee!!
 
Hizi jezi nimeshangaa sana kuwasubirisha watu kwa muda wote na kuwaletea kituko kama kile ni dharau kwa wananchi hivi unawezaje vaa jezi lenye ramani kwa pembeni halafu nao unaita ubunifu?
 
Hizi jezi kilichoharibu ni ile ramani walioiweka likubwa kwa pembeni. Isingekuwa hiyo ramani, ingevutia sana

Kulinganisha hizi jezi za Yanga na za Simba hapo ndipo ulipoonesha ngozi yako halisi kuwa ni mtu wa namna gani.

Mwisho ni kwamba hakuna aliyelazimishwa kuvaa jezi ya timu gani bali vaa unachokipenda kuvaa. Sijui una mtishia nani unavyosema utavaa jezi ya Simba?
 
Sitishii ila wakiendelea kuleta hivyo vituko hakika navaa za msimbazi mie kwani sipendi kupendeza au
 
Hizi jezi nimeshangaa sana kuwasubirisha watu kwa muda wote na kuwaletea kituko kama kile ni dharau kwa wananchi hivi unawezaje vaa jezi lenye ramani kwa pembeni halafu nao unaita ubunifu?
Ndoapo sasa daa wamezingua aisee
 
Hata za msimu uliopita walianza kuponda na kiki ya msalaba mwishowe wakakubali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…