huy malay.a aliyekuja kuharibu kipindi cha amplifaya.kweli ukipenda chongo huita kengeza.Sijawahi kuwa msikilizaji wa vipindi vya radio, naweza sema kwa bahati nzuri juzi nilikua kwnye mgahawa mmoja,Mara Radioni niliskia sauti iliyonifanya niweke tention kwnye Radio.. Baadae ulitaja jina lako nadhani ulikua ukimpatia mtu habari ya ushindi wa Techno.
Hakika nilijikuta nakufuatilia from there, na kukusifia kila kona, Umebarikiwa sauti Mina(Sijui ndio jina lako linatajwa hivyo , komradhi kama nimekosea.)
Una cheko la aina yake,sasa leo nimeweza kukujua Muonekano wako na Hapa najua nitapata picha Nyingi ,ila ujumbe wangu ukufikie , una talent ya utangazaji. UNAJUA.
Matatizo yanayonikumba sasa ninkugombana na Wife , maana kashachoka na mm kukusifia Sauti yako. [emoji4] .
Ha ha ha ha haHuu uzi bila picha ni sawa na kuingalia barcelona bila messi haunogi
Beauty resides from the eyes of the beholder...!Hahahaha.......wakawaida sana .....hajanivutia
Watu wana roho mbaya, yule demu ana bigger heartWatanzania acheni roho mbaya that girl is beautiful.. Nimepata bahati ya kuonana nae and very humble..
yeah najipigia barabara mimi mtu wako wa nguvu em ai daboelo ei ara d (millard ayo)Meena bado mtoto anakua...
Hivi millard hajipigii pale?!
Sana yaani..Watu wana roho mbaya, yule demu ana bigger heart
Hahahaha.Huyo asiye Na ushungi ndiye Minaa Ally View attachment 719096
Sawa sawa.Kwa uzoefu wangu wa ' Wastani ' tu ni kwamba 99% ya Wanawake wenye Sauti tamu kama siyo nzuri huwa wana ' Mbunye Shubiri ' sana.
Kapotabo Kama dynaHahahaha.
Hajanikosha bado
Hahahahaja.Kapotabo Kama dyna
Ulikuwa unamfikiriaje?mbona kama picha na nilivyokua nikimfikiria haviendan
Utawaweza wabongo wao wenyewe utakuta wana sura chachu utadhani wanakunywa juisi ya limao.Watanzania acheni roho mbaya that girl is beautiful.. Nimepata bahati ya kuonana nae and very humble..
Utawaweza wabongo wao wenyewe utakuta wana sura chachu utadhani wanakunywa juisi ya limao.Watanzania acheni roho mbaya that girl is beautiful.. Nimepata bahati ya kuonana nae and very humble..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]yeah najipigia barabara mimi mtu wako wa nguvu em ai daboelo ei ara d (millard ayo)