Minaki high school

sasa ikawaje kwa huyo mmarekani baada ya kuzaa na mke wa mwl mwenzake? Huyo mtoto aliendanae amerika?


Mkuu hili ilikuwa balaa sana.
Second master alikuwa mkali kama nyuki, ila jamaa akampiga bao.
By the time naondoka Minaki, may, 1988, Mmarekani alikuwa ameshatimua zake na watoto (mapacha) wakawa wananyolewa nywele na hawatolwei nje! Sijui huo mwila ulikuwaje, labda waliokuwapo baada ya 1988 watujuze!
 
Yeah, mjale, alikuwa akukuita, unakula mbata za kutosha. Da minaki, I'm proud kupita pale

Mzee Mjalle (RIP)..unoko wake partly umenifikisha hapa nilipo! Najivunia kusoma Minaki pia!
 
Waislam waligoma wakidai wamelishwa kitimoto wakahamishwa.. Nani anamkumbuka hussein kapuya?

Sio wakidai kuna wajinga walikomoa kwa kuwa kipindi hicho kulikuwa naubaguzi mkubwa wa dini!! Ni kweli tulitaka kulishwa lakini anagalia wale wote waliofanya huu upuuzi wako kimaisha tulihamishwa ndio lakini maisha yanaendelea na tuko vyema.
 
Najivunia kuwa miongön mwa tuliopitia hapo na kufanikisha malengo yangu,shukran zmendee mkuu chungu,madam asha,nshanganiye,baba ludo nk, nakupenda minaki

Tupo wengi tunaojivunia kuwa zao la Minaki! Mie nilikuwepo enzi za Mjale miaka 13 iliyopita ni shule nzuri!
 
Chole yupo bado,alipelekwa headmaster huko chole akaomba atoke aendelee minak coz mwinyewe anajikubal akiwa minak ,daah! Chezea minak wewe unakunya maji ya pond au minak guyz
 
acha kabisa ndugu nalikumbuka sana hili tukio
[h=5]R.I.P VALENTINE NDELEMA (EX-MINAKI'06 and among the PGM class excellent morning speech volunters)[/h]MIMI PCM BOY 2004-2006 MKAZI WA MAKONGORO ...
 
acha kabisa ndugu nalikumbuka sana hili tukio
[h=5]R.I.P VALENTINE NDELEMA (EX-MINAKI'06 and among the PGM class excellent morning speech volunters)[/h]MIMI PCM BOY 2004-2006 MKAZI WA MAKONGORO ...

dah bweni la kishua nakumbuka chumba cha chairman wa bweni by tht time tupo six 2005,wameliwa sana kuku wa mzee kinyogoli kwa hyo geto. ts awesome memories man.
 
dah bweni la kishua nakumbuka chumba cha chairman wa bweni by tht time tupo six 2005,wameliwa sana kuku wa mzee kinyogoli kwa hyo geto. ts awesome memories man.
acha tu mkuu lazima nitarudi pale kutoa shukrani zangu kwa namna yeyote...
 
AaaaaaaaaaaMinaki ni noma nilikuwepo hapo mwaka huu jamani pamekuwa pazuri bhana hamna shida ya maji tena wadau wangu ful matenk nw maji sh 100 tu,Heshima kwake Mkuu Chungu, Baba Rudo, Msanganyile,Gadafi, Madam Asha jamani katusaidia sana bila kumsahau Mr Abdala,Academic mwenyewe aah basi tu
 
(Minak member 2011/2013 nilikuwepo bweni la wajanja MNYAMPALA pale G8 ful sana)

AaaaaaaaaaaMinaki ni noma nilikuwepo hapo mwaka huu jamani pamekuwa pazuri bhana hamna shida ya maji tena wadau wangu ful matank nw maji sh 100 tu kila bweni na tank lake ,Heshima kwake Mkuu Chungu, Baba Rudo, Msanganyile,Gadafi, Madam Asha jamani katusaidia sana bila kumsahau Mr Abdala,Academic mwenyewe aah basi tu.

Am proud to b minaki member. Halaaaaaaaaaa
:smile-big::smile-big::couch2:
 
Hata mimi nilisoma pale Five na Six 2008-2009 dah shule yetu. Enzi za Mkuu wa Shule Marehemu Mjale, makamu wake Kabahoza alikuwa anatandika fimbo utadhani anaua nyoka matakoni! Zanta naye dah. Funga kazi Mzee Libaba Mwl wa History. Fumbuka sijui yuko wapi. Mtoto wa Kitine (Hamza) alikuwa kiranja mkuu shupavu sana pale. Mkimuona mtu anaitwa Joel Manyahi jamani tushtuane.

I miss Minaki. Lazma one of these weekends niibuke huko msituni minaki
 
Vipi kuhusu sisi majirani zenu PUGU BOYZ?mkipewa suspention mnakuja ku2lia Pugu!bt nakumbuka sku mja ckumbuki mwaka kuna wanafunzi 2 waminaki walikufa kwenye ajali ya daladala iliyo acha njia na kwenda kujibamiza kwenye ukingo wa barabara na hao vijana walikuwa wamening'inia mlangoni wakabanwa wakapoteza uhai na walikuwa room moja na walkuwa wanatokea sehem moja cjui rombo bt ni kilimanjaro.
 
Hapa sio Bweni la Shaaban BWENI KWELI, pamewasaidia wengi toka enzi za H/master Mjale...RIP, Mtila....RIP, namkubali sana mwalimu wamgu wa bweni Ngatila, alipokuwa anakuja kutuamsha akiwa na bukta huku nae akijikuna fangas, maji ya pond yalivyotutoa fangas, but it a moment to remember. Nasikitika " kinyanyiko tu" hakipo tena , sina uhakika na mihogo ya mama kinyogoli na mpishi maarufu 'Faza' pale bwalo
Nilipita minaki 2000/2002 PCB
 
yap mkuu hii ni shebirobi kiliitwa G8 lkn kwa sasa kinafahamika kama abajalo twit twister nilipita 2009-2011.
 
Nimekaa Lumumba nakumbuka madogo wa O-level walikuwa wanachemsha mihogo usikua na heater kwenye ndoo!Nimepita 2002-2004 PCM Boy!Wakati wa Mama Kafumu!!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Nimeishi Makongoro enzi za Kaaya, ukipiga kelele tu, alikuwa nawafuata hadi bwenini. Dah, ila sitasahau fangas wa minaki.
 
Dah! Minak is best xull wadau ,mim nimamaliza mwaka huu pale Egm , dah nimemi$s chole ile mbaya mzee wa tor.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…