Mind Illusion Projection: Jinsi ya kuidanganya mind ione vitu visivyo halisi kua ni halisi

Mind Illusion Projection: Jinsi ya kuidanganya mind ione vitu visivyo halisi kua ni halisi

Kwamba wachawi wanatumia nini? Nadhani bado mdogo haujaijua dunia.
 
Yeaah ni kweli kabisa hivyo siwezi kushangaa pindi ikikosa wachangiaji. Btw ningependa kupokea maswali zaidi maana nina vitu vingi sijavizungumzia ili nisiwachoshe watu

Salute mate.. Karibu Tushee mawazo tuliyonayo pamoja.
Natumaini una vingi vya kunifundisha
 
Hellow Da’vinci naomba kuuliza je hii dhima nzima uliyoizungumzia humu ndo hata na watumishi wa dini wanaitumia anamwambia mtu kiwete ww simamaa anza kutembea au tupa magongoo tembeaa ww amin tuu unaweza??
 
Hellow Da’vinci naomba kuuliza je hii dhima nzima uliyoizungumzia humu ndo hata na watumishi wa dini wanaitumia anamwambia mtu kiwete ww simamaa anza kutembea au tupa magongoo tembeaa ww amin tuu unaweza??
Wanacheza na mentality yako nimeelezea hii kwenye mada yangu ya nyuma kabla ya hii. Nitakuwekea link
 
Mkuu Da'Vinci , hivi yale madude unavaa halafu unakuwa unaona movie kama na wewe uko pale (kama uhalisia), na yenyewe yametengenezwa kwa kuidanganya akili?!
 
Back
Top Bottom