Mind Illusion Projection: Jinsi ya kuidanganya mind ione vitu visivyo halisi kua ni halisi

Kwamba wachawi wanatumia nini? Nadhani bado mdogo haujaijua dunia.
 
 
Hellow Da’vinci naomba kuuliza je hii dhima nzima uliyoizungumzia humu ndo hata na watumishi wa dini wanaitumia anamwambia mtu kiwete ww simamaa anza kutembea au tupa magongoo tembeaa ww amin tuu unaweza??
 
Hellow Da’vinci naomba kuuliza je hii dhima nzima uliyoizungumzia humu ndo hata na watumishi wa dini wanaitumia anamwambia mtu kiwete ww simamaa anza kutembea au tupa magongoo tembeaa ww amin tuu unaweza??
Wanacheza na mentality yako nimeelezea hii kwenye mada yangu ya nyuma kabla ya hii. Nitakuwekea link
 
Mkuu Da'Vinci , hivi yale madude unavaa halafu unakuwa unaona movie kama na wewe uko pale (kama uhalisia), na yenyewe yametengenezwa kwa kuidanganya akili?!
 
Pia naomba kujua tofauti ya 5G, 3D na hologram technology
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…