Mindset za Vijana kuhusu Ajira

kwa nini usifanye wewe uwe tajiri, hizi ni porojo kutaka kuonesha tatizo kwa wengine.

yaani umewaza kimkunduchi sana,gharama za karanga zile hadi kuwa tayari unajua ni kiasi gani?

ama unajua zina kaangwa kwenye majiko ya kawaida na kufungwa kwenye vifungashio vya maandazi.

ingekuwa rahisi ivyo wauza karanga wa bukoba, biharamuro, kahama, nzege kwenye mabasi wangekuwa wamesha mpita diamond

hayo ni mawazo ya kiharate
 
Absolutely bro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…