Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
- Thread starter
-
- #21
Ndo lengo zima la spyingKwa hio bei privacy zetu zitaingiliwa sana
Ngoja watu wanunue nunue tuone feedback alafu tupate ata mbili tatu tuweke mageton na kwenye magoliNdo lengo zima la spying
Sawa mkuuNgoja watu wanunue nunue tuone feedback alafu tupate ata mbili tatu tuweke mageton na kwenye magoli
Msivitangaze sana vibaka wakavijua watavibandua
Haupokei simuJipatie spy camera uweze kurekodi
matukio na ukaona kupitia simu yako
Camera ina sifa zifuatazo
Unaweza ukaunganisha camera na wifi ya simu yako ukaona kinachoedelea live kabisa
Au ukaweka memory card ikarekodi matukio halafu baadae ukaangalia kupitia simu yako,laptop au computer
Kama mpenzi wako anachepuka unaweza ukamkamata kirahisi na camera hii
Kama umemuacha mtoto nyumbani na house girl
Unaweza pia ukarekodi vitu vinavyoendelea nyumbani kwako,au ofisini kwako
Camera ni ya kuchaji
Unaweza ukaskia sauti
Camera Ina nights vision
Ina magnet kwa ajili ya kuibandika sehemu
Ni ndogo na unaweza ukaificha kirahisi
Camera inakuja na vitu vifuatavyo
mini camera
charging cable
adjustable support
English manual
Price: 50,000/=
Tunapatikana Tabata Dar es Salaam
Call/Whatsapp:+255764108259
View attachment 2420140
Ivi vinafaa kuibia taarifa za siri za watu💰😀😀Jipatie spy camera uweze kurekodi
matukio na ukaona kupitia simu yako
Camera ina sifa zifuatazo
Unaweza ukaunganisha camera na wifi ya simu yako ukaona kinachoedelea live kabisa
Au ukaweka memory card ikarekodi matukio halafu baadae ukaangalia kupitia simu yako,laptop au computer
Kama mpenzi wako anachepuka unaweza ukamkamata kirahisi na camera hii
Kama umemuacha mtoto nyumbani na house girl
Unaweza pia ukarekodi vitu vinavyoendelea nyumbani kwako,au ofisini kwako
Camera ni ya kuchaji
Unaweza ukaskia sauti
Camera Ina nights vision
Ina magnet kwa ajili ya kuibandika sehemu
Ni ndogo na unaweza ukaificha kirahisi
Camera inakuja na vitu vifuatavyo
mini camera
charging cable
adjustable support
English manual
Price: 50,000/=
Tunapatikana Tabata Dar es Salaam
Call/Whatsapp:+255764108259
View attachment 2420140
Niwie radhi niilikua mbali kidogo na simu boss...nakupigia mkuuHaupokei simu
Ndio haina mambo mengi mkuuNaomba uelezee zaid inafanyaje kazi?yani unaweka tu na kuanza kutumia au?
Kabisa mkuu[emoji28]Ivi vinafaa kuibia taarifa za siri za watu[emoji383][emoji3][emoji3]
Karibu sanaNimeipenda hakika
Vipi haina pia Uwezo wa Kuangalia ( Kumulika ) na Kututhibitishia kuwa ni kweli Majaliwa Jackson aliokoa wale Manusura 24 wa Ajali ya Ndege ya Precision Air Ziwa Victoria Bukoba Ili tuamini na tumuamini rasmi?Jipatie spy camera uweze kurekodi
matukio na ukaona kupitia simu yako
Camera ina sifa zifuatazo
Unaweza ukaunganisha camera na wifi ya simu yako ukaona kinachoedelea live kabisa
Au ukaweka memory card ikarekodi matukio halafu baadae ukaangalia kupitia simu yako,laptop au computer
Kama mpenzi wako anachepuka unaweza ukamkamata kirahisi na camera hii
Kama umemuacha mtoto nyumbani na house girl
Unaweza pia ukarekodi vitu vinavyoendelea nyumbani kwako,au ofisini kwako
Camera ni ya kuchaji
Unaweza ukaskia sauti
Camera Ina nights vision
Ina magnet kwa ajili ya kuibandika sehemu
Ni ndogo na unaweza ukaificha kirahisi
Camera inakuja na vitu vifuatavyo
mini camera
charging cable
adjustable support
English manual
Price: 50,000/=
Tunapatikana Tabata Dar es Salaam
Call/Whatsapp:+255764108259
View attachment 2420140
Tunasafirisha inafika ulipoSisi wakazi wa Nyarugusu, mgusu, kamena, nyakabale, manga, sota, nyawilimilwa hiyo camera tunaipataje?
Ingekua imefungwa kwenye precision Air basi bila shaka tungeweza kuupata ukweli live bila chengaVipi haina pia Uwezo wa Kuangalia ( Kumulika ) na Kututhibitishia kuwa ni kweli Majaliwa Jackson aliokoa wale Manusura 24 wa Ajali ya Ndege ya Precision Air Ziwa Victoria Bukoba Ili tuamini na tumuamini rasmi?