INAUZWA Mini wifi Spy camera

INAUZWA Mini wifi Spy camera

Jipatie spy camera uweze kurekodi
matukio na ukaona kupitia simu yako

Camera ina sifa zifuatazo

Unaweza ukaunganisha camera na wifi ya simu yako ukaona kinachoedelea live kabisa

Au ukaweka memory card ikarekodi matukio halafu baadae ukaangalia kupitia simu yako,laptop au computer

Kama mpenzi wako anachepuka unaweza ukamkamata kirahisi na camera hii

Kama umemuacha mtoto nyumbani na house girl

Unaweza pia ukarekodi vitu vinavyoendelea nyumbani kwako,au ofisini kwako

Camera ni ya kuchaji

Unaweza ukaskia sauti

Camera Ina nights vision

Ina magnet kwa ajili ya kuibandika sehemu

Ni ndogo na unaweza ukaificha kirahisi


Camera inakuja na vitu vifuatavyo

mini camera
charging cable
adjustable support
English manual

Price: 50,000/=

Tunapatikana Tabata Dar es Salaam

Call/Whatsapp:+255764108259

View attachment 2420140
Haupokei simu
 
Jipatie spy camera uweze kurekodi
matukio na ukaona kupitia simu yako

Camera ina sifa zifuatazo

Unaweza ukaunganisha camera na wifi ya simu yako ukaona kinachoedelea live kabisa

Au ukaweka memory card ikarekodi matukio halafu baadae ukaangalia kupitia simu yako,laptop au computer

Kama mpenzi wako anachepuka unaweza ukamkamata kirahisi na camera hii

Kama umemuacha mtoto nyumbani na house girl

Unaweza pia ukarekodi vitu vinavyoendelea nyumbani kwako,au ofisini kwako

Camera ni ya kuchaji

Unaweza ukaskia sauti

Camera Ina nights vision

Ina magnet kwa ajili ya kuibandika sehemu

Ni ndogo na unaweza ukaificha kirahisi


Camera inakuja na vitu vifuatavyo

mini camera
charging cable
adjustable support
English manual

Price: 50,000/=

Tunapatikana Tabata Dar es Salaam

Call/Whatsapp:+255764108259

View attachment 2420140
Ivi vinafaa kuibia taarifa za siri za watu💰😀😀
 
Naomba uelezee zaid inafanyaje kazi?yani unaweka tu na kuanza kutumia au?
Ndio haina mambo mengi mkuu

Ukishawasha camera una weza ukatumia wifi ukaona matukio kwenye simu yako au ukaweka memory card ikarekodi matukio halafu baadae ukaangalia kupitia simu yako,laptop au computer
 
Sisi wakazi wa Nyarugusu, mgusu, kamena, nyakabale, manga, sota, nyawilimilwa hiyo camera tunaipataje?
 
Jipatie spy camera uweze kurekodi
matukio na ukaona kupitia simu yako

Camera ina sifa zifuatazo

Unaweza ukaunganisha camera na wifi ya simu yako ukaona kinachoedelea live kabisa

Au ukaweka memory card ikarekodi matukio halafu baadae ukaangalia kupitia simu yako,laptop au computer

Kama mpenzi wako anachepuka unaweza ukamkamata kirahisi na camera hii

Kama umemuacha mtoto nyumbani na house girl

Unaweza pia ukarekodi vitu vinavyoendelea nyumbani kwako,au ofisini kwako

Camera ni ya kuchaji

Unaweza ukaskia sauti

Camera Ina nights vision

Ina magnet kwa ajili ya kuibandika sehemu

Ni ndogo na unaweza ukaificha kirahisi


Camera inakuja na vitu vifuatavyo

mini camera
charging cable
adjustable support
English manual

Price: 50,000/=

Tunapatikana Tabata Dar es Salaam

Call/Whatsapp:+255764108259

View attachment 2420140
Vipi haina pia Uwezo wa Kuangalia ( Kumulika ) na Kututhibitishia kuwa ni kweli Majaliwa Jackson aliokoa wale Manusura 24 wa Ajali ya Ndege ya Precision Air Ziwa Victoria Bukoba Ili tuamini na tumuamini rasmi?
 
Kama ni ya kuchaji,inakaa na chaj muda gani? Vp huwezi iunganisha na umeme?
Mkuu naomba kufahamu Kama unaweza weka CCTV cameras nyumbani lakini zikawa zinatumia umeme wa solar
 
Vipi haina pia Uwezo wa Kuangalia ( Kumulika ) na Kututhibitishia kuwa ni kweli Majaliwa Jackson aliokoa wale Manusura 24 wa Ajali ya Ndege ya Precision Air Ziwa Victoria Bukoba Ili tuamini na tumuamini rasmi?
Ingekua imefungwa kwenye precision Air basi bila shaka tungeweza kuupata ukweli live bila chenga
 
Back
Top Bottom