Nadhani zote hizi zina future hapa Tanzania au popote, Mining sekta inaoneka kuendelea vizuri Tanzania na pia Chemical / Process Engineering ina promise kubwa kwa ugunduzi wa gesi na viwanda vitakavyo fuatia hapo( downstream industries) kama mbolea , chemicals n.k. Pia / Chemical /process engineering unaweza kufiti pahali pengi - haya ni maoni yangu mkuu