Dit000
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 710
- 1,041
nilisoma diploma ya uhandisi ujenzi muda kidogo
sasa baada ya kumaliza na maisha kunichapa, nilijikuta nimeingia katika maswala ya uchimbaji wa dhahabu maporini katavi
huko nilifanikiwa kujifunza nje ndani kuhusu madini ya dhabau sema kule tulikuwa tunachimba locally sio kama wasomi
uchimbaji wa kule ulikuwa kimila ama kitamaduni sanaa so tulipitia mamabo mengi sanaa kiasi kwambaa sikutegemea kuyajua hadi fani yangu nikaisahau kidogo walee wataalamu wa kutafuta miamba ardhini kwa kutumia utrasound ya mama juma nazani munaeelwa.
baadae nikarudi tena mjini kuendelea na fani yangu nilianza kujihusishaa na barabara tu hapo nikiwa TARURA
baadae napo nikahama nikaaingia halmashauri kule ilikuwa mwanzo mwisho miradi ya majengo, kule miradi inatekelezwaa kwa njia ya FORCE account
kote huko nilikuwa nakula vijisenti vya serikari kwa kupitia tittle ya interm so kote huko nilijifunzaa hela ya serikari unaipata vipi hadi kuingia mfukoni, so vijisent nilikuwa navipata uongo mbayaa
sasa nimejifikiria nisome kipi degree, madini au civil jinsi ya kupata pesa kule kwenye madini ni tofauti kabisaa na huku kwenye majengo na barabara
nimekuwa nikitamani kuona watu wakidesign mapits kitaalamu kwa kutumia maprogram
kwenye civil kazi huwa ni za misimu sanaa kuna muda zinakuwepo kuna muda zinakataa
kwenye madini kule site unakuta ni moja tu haibadiliki unaweza kuchimba hata miaka mingi hadi ukachoka mwenyewe
kwenye civil kama we ni mtu wa miradi unakuwa na ile kutangatanga leo dar, kesho msoma, mala, dodoma n.k
sasa nauliza mainjinia wa migodi na ujenzi ipi kozi tamu kati ya hizi, masuala ya ajira hata msipoonglea yanajulikana na sina wasiwasi sanaa maana najua jinsi gani nitapata wapi pesa nisurvive.
sasa baada ya kumaliza na maisha kunichapa, nilijikuta nimeingia katika maswala ya uchimbaji wa dhahabu maporini katavi
huko nilifanikiwa kujifunza nje ndani kuhusu madini ya dhabau sema kule tulikuwa tunachimba locally sio kama wasomi
uchimbaji wa kule ulikuwa kimila ama kitamaduni sanaa so tulipitia mamabo mengi sanaa kiasi kwambaa sikutegemea kuyajua hadi fani yangu nikaisahau kidogo walee wataalamu wa kutafuta miamba ardhini kwa kutumia utrasound ya mama juma nazani munaeelwa.
baadae nikarudi tena mjini kuendelea na fani yangu nilianza kujihusishaa na barabara tu hapo nikiwa TARURA
baadae napo nikahama nikaaingia halmashauri kule ilikuwa mwanzo mwisho miradi ya majengo, kule miradi inatekelezwaa kwa njia ya FORCE account
kote huko nilikuwa nakula vijisenti vya serikari kwa kupitia tittle ya interm so kote huko nilijifunzaa hela ya serikari unaipata vipi hadi kuingia mfukoni, so vijisent nilikuwa navipata uongo mbayaa
sasa nimejifikiria nisome kipi degree, madini au civil jinsi ya kupata pesa kule kwenye madini ni tofauti kabisaa na huku kwenye majengo na barabara
nimekuwa nikitamani kuona watu wakidesign mapits kitaalamu kwa kutumia maprogram
kwenye civil kazi huwa ni za misimu sanaa kuna muda zinakuwepo kuna muda zinakataa
kwenye madini kule site unakuta ni moja tu haibadiliki unaweza kuchimba hata miaka mingi hadi ukachoka mwenyewe
kwenye civil kama we ni mtu wa miradi unakuwa na ile kutangatanga leo dar, kesho msoma, mala, dodoma n.k
sasa nauliza mainjinia wa migodi na ujenzi ipi kozi tamu kati ya hizi, masuala ya ajira hata msipoonglea yanajulikana na sina wasiwasi sanaa maana najua jinsi gani nitapata wapi pesa nisurvive.