Refrector
Senior Member
- Mar 13, 2014
- 187
- 118
Jamani watanzania tuamke Dunia inaenda mbio sana. Kama utang'ang'ana na biashara moja hakika kilio kwako kiuchumi kitakusonga hivyo jifunze kujivunia pesa mtandaoni kama wenzako wanavyofanya.
Kwanini bando lako liwe la kufacebuka tu na kuwasapika tuu bila kuingiza hata mia...
Shituka ingia Dunia ya wapambanaji ujue walau kuingiza hata $50 tu ya mdhungu.😁
Kuna pesa nyingi mtandaoni lakini Anza na hizi ambazo huwekezi hata mia yako mtandaoni... Mining, Freelancing, gathering coin nk
Ukishakuwa mwenyeji mtandaoni ndio jiingize kwa hao Forex na wengineo....
Huku kunavitu vingi vya kufanya na kujiingizia pesa kikubwa ni kumpata mtu sahihi na asiye na tamaa ya kukuomba pesa akuelekeze...
Vijana changamka pesa ya mtandao ipooo👌Wakenya wanapiga pesa, Nigerian, Uganda na nchi za west kwanini sisi Tuwe mikia Kila sehemu🥴
Ni hayoo tuu niloyaleta Leo kama utahitaji kujua usisite kuniinbox 🙏
Kwanini bando lako liwe la kufacebuka tu na kuwasapika tuu bila kuingiza hata mia...
Shituka ingia Dunia ya wapambanaji ujue walau kuingiza hata $50 tu ya mdhungu.😁
Kuna pesa nyingi mtandaoni lakini Anza na hizi ambazo huwekezi hata mia yako mtandaoni... Mining, Freelancing, gathering coin nk
Ukishakuwa mwenyeji mtandaoni ndio jiingize kwa hao Forex na wengineo....
Huku kunavitu vingi vya kufanya na kujiingizia pesa kikubwa ni kumpata mtu sahihi na asiye na tamaa ya kukuomba pesa akuelekeze...
Vijana changamka pesa ya mtandao ipooo👌Wakenya wanapiga pesa, Nigerian, Uganda na nchi za west kwanini sisi Tuwe mikia Kila sehemu🥴
Ni hayoo tuu niloyaleta Leo kama utahitaji kujua usisite kuniinbox 🙏