UngaUnga
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 1,724
- 1,464
Mimi ni mtingaji, tupeane michongo ya machaka mapya, mambo ya kwenda kusotea hizo ni zama za kale! tuko kidigital sasa hivi, vipi uliko chaka linasomekaje?, vinachomoka? hr anadaka ngapi kutoa shavu? N.k mm niko master one ifakara hapa vidumu/videbe vinachomoka viwili vya kiislamu, Matx nadhani wananielewa hapa!