Cicero
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,924
- 3,074
Nimesikia hiyo wizara mpya kaitangaza Uhuru Kenyatta.
This is taking the battle to a whole new level. Nashauri TZ tujibu na wizara maalum inayojitegemea ya masuala ya Afrika Mashariki na Central Corridor Development.
Kuna azimio la Afrika Mashariki kwamba kila nchi lazima iwe na wizara ya masuala ya Afrika Mashariki lakini baada ya mda nchi nyingi zikaimerge hiyo wizara into other ministries (kwa mfano Tanzania iliingizwa kwenye wizara ya mambo ya nje).
This war is just beginning. The aim is to bring development to East Africans. ALUTA CONTINUA!
This is taking the battle to a whole new level. Nashauri TZ tujibu na wizara maalum inayojitegemea ya masuala ya Afrika Mashariki na Central Corridor Development.
Kuna azimio la Afrika Mashariki kwamba kila nchi lazima iwe na wizara ya masuala ya Afrika Mashariki lakini baada ya mda nchi nyingi zikaimerge hiyo wizara into other ministries (kwa mfano Tanzania iliingizwa kwenye wizara ya mambo ya nje).
This war is just beginning. The aim is to bring development to East Africans. ALUTA CONTINUA!