kama unataka kumaliza tatizo lako basi fuata ushauri wangu huu
Ugonjwa wa Typhod,Amiba na Minyoo limekua ni tatizo kubwa kwa watu wengi kwa nyakati hizi na hii inatokana na usumbufu ambao watu wanaupata kutokana na hii tiba ya kisasa, sipendi nieleze zaidi kuhusu hilo ila kila mtu anajua amehangaika kiasi gani kutafuta tiba ya Typhod au Amiba mahospitalini bila mafanikio
ila leo nitaelezea jinsi ya kutengeneza dawa ya za magonjwa hayo kama ifuatavyo
MALIMAO
MAANDALIZI
Chukua 1• Majani ya mpera ya kutosha yasiwe chini ya saba
2• Malimao matatu
3• Punje za vitunguu thaumu 21
Vyote hivyo vitwange pamoja ila limao kamua maji yake kisha changanya pamoja
MATUMIZI
Kunywa dawa hiyo yote asubuhi kabla hujala chochote kwa muda wa siku saba.