mocran Member Joined Apr 26, 2012 Posts 45 Reaction score 8 Jul 7, 2015 #1 Habari wana JF, Ninasumbuliwa na minyoo ya safura inayojirudiarudia. Zipi dawa nzuri ya kutibu kabisa.
Habari wana JF, Ninasumbuliwa na minyoo ya safura inayojirudiarudia. Zipi dawa nzuri ya kutibu kabisa.
OME123 JF-Expert Member Joined Oct 4, 2010 Posts 1,497 Reaction score 605 Jul 7, 2015 #2 Vitungu swaumu.tafuna punje 15.asubuhi kabla haujala chochote asubuhi kwa siku tatu
definition JF-Expert Member Joined Nov 28, 2013 Posts 972 Reaction score 1,584 Jul 7, 2015 #3 chakii ukuje uni ambie safura ndo worms gani...maana huwa na wasikia tu au ndo hook worms..