Patriot missile
JF-Expert Member
- Jun 16, 2024
- 280
- 423
Kwa ufupi sana,
1. Huyu Kigaila anayesema Lissu ni CCM mke wake yuko Bungeni tena bila ya baraka za Chama hii kwa akili ya kawaida kabisa inawezekana kweli Kunti hakutumwa na mumewe?
2. Hata Salumu Mwalimu Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Mke wake yuko Bungeni tena bila ya baraka za chama lakini jambo hili kwa akili za kawaida kabisa inawezekanaje huyu Katibu mkuu anatafuna Posho za Bunge eti hajui mkewe aliendaje kuapa?
3. Taifa hili linafahamu fika Halima na Bulaya ni maswaiba wakubwa wa Freeman Mbowe je hoja kwamba wadada hawa waliapa bila baraka za rafiki yao mkubwa Freeman Mbowe zinaukweli?
4. Mimi nasema hawa wanawake wanaonewa bure tena nashauri Mbowe, Mwalimu na Kigaila waadhibiwe kwa makosa haya na Chama kitamke msamaha juu ya hao wanawake wote 19
5. Napendekeza wabunge hawa warudi kundini ili Maisha yaendelee ila hawa Wala rushwa waondoke na Uenyekiti apewe mtu asiye Mbowe.
1. Huyu Kigaila anayesema Lissu ni CCM mke wake yuko Bungeni tena bila ya baraka za Chama hii kwa akili ya kawaida kabisa inawezekana kweli Kunti hakutumwa na mumewe?
2. Hata Salumu Mwalimu Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Mke wake yuko Bungeni tena bila ya baraka za chama lakini jambo hili kwa akili za kawaida kabisa inawezekanaje huyu Katibu mkuu anatafuna Posho za Bunge eti hajui mkewe aliendaje kuapa?
3. Taifa hili linafahamu fika Halima na Bulaya ni maswaiba wakubwa wa Freeman Mbowe je hoja kwamba wadada hawa waliapa bila baraka za rafiki yao mkubwa Freeman Mbowe zinaukweli?
4. Mimi nasema hawa wanawake wanaonewa bure tena nashauri Mbowe, Mwalimu na Kigaila waadhibiwe kwa makosa haya na Chama kitamke msamaha juu ya hao wanawake wote 19
5. Napendekeza wabunge hawa warudi kundini ili Maisha yaendelee ila hawa Wala rushwa waondoke na Uenyekiti apewe mtu asiye Mbowe.