Tetesi: Miongoni mwa Wabunge 19 waasi wa CHADEMA wawili kati yao ni wake za Benson Kigaila na Salumu Mwalim hoja kuwa waliapa bila baraka za chama zinaukweli?

Tetesi: Miongoni mwa Wabunge 19 waasi wa CHADEMA wawili kati yao ni wake za Benson Kigaila na Salumu Mwalim hoja kuwa waliapa bila baraka za chama zinaukweli?

Mimi G4N naapa kwamba kuanzia leo sitashabikia chama chochote cha siasa. Hii inakuja baada ya kujiridhisha kuwa watu wote wapo ktk vyama vya siasa kwa maslahi na malengo yao binafsi.
Hapana Mkuu ,tuendelee kupiga kelele ili tuwakomboe vijana waliotekwa na CDM.
 
Kinachoshangaza sana ni jinsi Bunge na Serikali walivyowang’ang’ania hao wabunge feki muda wote huu kinyume cha katiba na sheria pamoja na CHADEMA kuchukua hatua kamili za kitaasisi kuwaondolea uanachama! Ni kituko.

Hii bla bla ya kuwa wenza wa viongozi ingekuwa na mashiko kama kilichokuwa chama chao kingekuwa kingekuwa kimefanya taratibu rasmi za kitaasisi kuwapeleka huko bungeni na kutambua rasmi uwepo wao huko.

Naielewa vizuri hoja ya Paschal Mayala kuhusu KARMA kwa wote wanaoshukiwa kufanya uhuni katika suala hili. LAKINI si huu ujinga unaopigiwa kelele zisizo na mantiki na machawa wa CCM na viongozi yake.
 
Uaneni bwana hamna maana nyie
Yaani unaona kuuana ni jambo la kawaida?

Watu wa aina yako ndiyo walimchagua Hitler kuwa kiongozi wao. Watu wanaoona uhai wa wengine hauna maana kwa kuwa tu hawakubaliani nao wanaweza kuwa na mojawapo ya sifa hizi;

1. Waoga
2. Wabinafsi
3. Katili
4. Hawajui thamani Yao
5. Wanafikra za kitumwa
6. Wana wivu kwa mafanikio ya wengine.
7. Wanafiki
8. Wazembe
9. Hawana akili
10. Mazwazwa
 
Yaani unaona kuuana ni jambo la kawaida?

Watu wa aina yako ndiyo walimchagua Hitler kuwa kiongozi wao. Watu wanaoona uhai wa wengine hauna maana kwa kuwa tu hawakubaliani nao wanaweza kuwa na mojawapo ya sifa hizi;

1. Waoga
2. Wabinafsi
3. Katili
4. Hawajui thamani Yao
5. Wanafikra za kitumwa
6. Wana wivu kwa mafanikio ya wengine.
7. Wanafiki
8. Wazembe
9. Hawana akili
10. Mazwazwa
Sasa Machadema mna faida gani?
 
Kwa mujibu wa sheria, mtu akiishafikisha the age of majority, ambayo kwa Tanzania ni umri wa miaka 18, then, kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe, mume hawajibiki kwa makosa ya mkewe au mke hawajibiki kwa makosa ya mumewe, na kupitia sheria ya ushahidi ihusiyo mahusiano ya uwajibikaji, fiduciary relationship, watu wenye mahusiano hayo, wana kinga ya kutoohojiwa kijinai, kutoa ushahidi dhidi ya jinai ya wenza wao, iitwayo vicarious liability.

Hivyo hawahusiki na vitendo vyao vya kisiasa, ila kwa vile they are sharing the ssma bed, kupitia kanuni ya karma, viongozi wote wa CC ya Chadema, waliojilia mzigo kwa hao wanawake 19, kisha kukaa ndani ya CC na kuwatimua, wataadhibiwa na karma!.

Kwenye bandiko langu Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tu nilisema

P
Paskali
Hiyo karma ni imani yako na mimi nina yangu. Tuachane nayo na tuangalie sheria inasemaje. Karma ni imani ya Wahindu ambayo haina mantiki wala mashiko. Hata muuaji anaweza kuiambia mahakama kuwa ni karma imemtuma kuua kwa hiyo yeye hana makosa!! Wewe Paskali kama wakili msomi unaweza kutoa hoja ya Karma mahakamani?
 
Kinachoshangaza sana ni jinsi Bunge na Serikali walivyowang’ang’ania hao wabunge feki muda wote huu kinyume cha katiba na sheria pamoja na CHADEMA kuchukua hatua kamili za kitaasisi kuwaondolea uanachama! Ni kituko.

Hii bla bla ya kuwa wenza wa viongozi ingekuwa na mashiko kama kilichokuwa chama chao kingekuwa kingekuwa kimefanya taratibu rasmi za kitaasisi kuwapeleka huko bungeni na kutambua rasmi uwepo wao huko.

Naielewa vizuri hoja ya Paschal Mayala kuhusu KARMA kwa wote wanaoshukiwa kufanya uhuni katika suala hili. LAKINI si huu ujinga unaopigiwa kelele zisizo na mantiki na machawa wa CCM na viongozi yake.
Mchongo
 
Back
Top Bottom