Captain mopao
Senior Member
- Feb 25, 2021
- 133
- 384
Hii ni miongozo kwa wanaopenda kuvaa kadeti, fanya haya ili isipauke mapema.
☆Tumia sabuni ya kipande unapoifua usitumie sabuni ya unga
☆Igeuze nje ndani unapoifua
☆Usiianike kwenye jua anika kwenye kimvuli
☆Usiipige pasi ikibidi ipige ikiwa imegeuzwa
☆Usiiloweke muda mrefu kwenye maji
☆Usiikamue maji unapoianika iache ikiwa na maji
☆Usitumie maji chumvi katika kufua
Hizo ni baadhi ya sheria chache kati ya nyingi, kuifanya nguo yako isichakae mapema
Nawasilisha ndugu zangu.
☆Tumia sabuni ya kipande unapoifua usitumie sabuni ya unga
☆Igeuze nje ndani unapoifua
☆Usiianike kwenye jua anika kwenye kimvuli
☆Usiipige pasi ikibidi ipige ikiwa imegeuzwa
☆Usiiloweke muda mrefu kwenye maji
☆Usiikamue maji unapoianika iache ikiwa na maji
☆Usitumie maji chumvi katika kufua
Hizo ni baadhi ya sheria chache kati ya nyingi, kuifanya nguo yako isichakae mapema
Nawasilisha ndugu zangu.