Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
HahahhaaaHa ha hatari sana.. kuna siku imenichanikia napanda boda boda.
Ile nainua mguu tu nikasikia chwaaa [emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahhaaaHa ha hatari sana.. kuna siku imenichanikia napanda boda boda.
Ile nainua mguu tu nikasikia chwaaa [emoji3][emoji3]
Kama hivi ukiwa unakaa maji chumvi unafanyeje?!Hii ni miongozo kwa wanaopenda kuvaa kadeti, fanya haya ili isipauke mapema.
☆Tumia sabuni ya kipande unapoifua usitumie sabuni ya unga
☆Igeuze nje ndani unapoifua
☆Usiianike kwenye jua anika kwenye kimvuli
☆Usiipige pasi ikibidi ipige ikiwa imegeuzwa
☆Usiiloweke muda mrefu kwenye maji
☆Usiikamue maji unapoianika iache ikiwa na maji
☆Usitumie maji chumvi katika kufua
Hizo ni baadhi ya sheria chache kati ya nyingi, kuifanya nguo yako isichakae mapema
Nawasilisha ndugu zangu.
Zitakuwa zinatofautiana na za mleta Uzi (kwenye picha pale) bila shakaMimi nina kadeti tatu zina zaidi ya miaka 3. Masharti hayo siyafuati, lakini bado ziko bomba, isipokuwa moja ndio imeanza kupauka.
NB: Kadeti hizi nilinunua kitambaa dukani na kushonesha kwa fundi.