Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Hahahahahah aisee huo mtihaniHivi ukivaa kadet unaweza kurusha mateke au kukimbia?
Duh, kitambaa cha kadert dukani mkuu?Mimi nina kadeti tatu zina zaidi ya miaka 3. Masharti hayo siyafuati, lakini bado ziko bomba, isipokuwa moja ndio imeanza kupauka.
NB: Kadeti hizi nilinunua kitambaa dukani na kushonesha kwa fundi.
Unaonaje ukienda kwenye maduka yanayouza vitambaa ukauliza ili upate uhakika kama huamini nilichoandika?Duh, kitambaa cha kadert dukani mkuu??
Kwahiyo hata boda boda inabidi uipande kisichana?Hahahahahah aisee huo mtihani
Nikiavaa hizo suruali huwa nakua makini muda wote yaani hata teke siwezi rusha maana utashangaa "chwaaa!!"
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Ha ha hatari sana.. kuna siku imenichanikia napanda boda boda.Hahahahahah aisee huo mtihani
Nikiavaa hizo suruali huwa nakua makini muda wote yaani hata teke siwezi rusha maana utashangaa "chwaaa!!"
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Unapanda kwa timing.. ukijichanganya unaaibikaKwahiyo hata boda boda inabidi uipande kisichana?
Yaani hauwezi nyanyua mguu na kukaa ni lazima ukanyage pale pa kuweka miguu?
Boda boda nakanyaga kwanza pale pa kuwekwa mkuu ndio nakaa vizuri japo Mimi Ni mrefu kidogo naweza zungusha mguu hewani ukatua upande wa pili[emoji1787]Kwahiyo hata boda boda inabidi uipande kisichana?
Yaani hauwezi nyanyua mguu na kukaa ni lazima ukanyage pale pa kuweka miguu?
Au zile kaki tulikuwa tunashona kaptula za Shule?Kuna kitambaa cha kadeti dukan??🤔🤔🤔
Hiyo sasa ndiyo kisichana. Ila nitajaribu kumiliki kadeti nioneBoda boda nakanyaga kwanza pale pa kuwekwa mkuu ndio nakaa vizuri japo Mimi Ni mrefu kidogo naweza zungusha mguu hewani ukatua upande wa pili[emoji1787]
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Mkuu kama hutojali naomba bland na jina ya kuzitambua quality ya hizo bei maana mtu anaweza kukuuzia cardet kwa 55k alafu ukifua kama umechemsha. ChainiziWeka na aina ya kadet pia
Kuna grades za 45,000 or 55,000 kwenda juu hazina hayo masharti
Hahahahahah aisee huo mtihani
Nikiavaa hizo suruali huwa nakua makini muda wote yaani hata teke siwezi rusha maana utashangaa "chwaaa!!"
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Na mimi najua cardet za ciku hiz ni stretcherble za zaman zile. Ngum ndo ulikuwa msala inachanika kama umemwagia maji ya betriIzo kadeti ambazo huwezi rusha mateke ni izo kadeti za kumi Na nane Na kariakoo ni 13 Kwa jumla lakini kadeti zenyewe huwa zinakua Zinavutika
[emoji3][emoji3]Kwahiyo hata boda boda inabidi uipande kisichana?
Yaani hauwezi nyanyua mguu na kukaa ni lazima ukanyage pale pa kuweka miguu?
Nimejitahidi kufuata masharti hayo lkn wapi!,Kadeti zangu zimepauka zote.Hii ni miongozo kwa wanaopenda kuvaa kadeti, fanya haya ili isipauke mapema.
☆Tumia sabuni ya kipande unapoifua usitumie sabuni ya unga
☆Igeuze nje ndani unapoifua
☆Usiianike kwenye jua anika kwenye kimvuli
☆Usiipige pasi ikibidi ipige ikiwa imegeuzwa
☆Usiiloweke muda mrefu kwenye maji
☆Usiikamue maji unapoianika iache ikiwa na maji
☆Usitumie maji chumvi katika kufua
Hizo ni baadhi ya sheria chache kati ya nyingi, kuifanya nguo yako isichakae mapema
Nawasilisha ndugu zangu.
Kadeti za elfu 15 ukiifua tu unaitupaWeka na aina ya kadet pia
Kuna grades za 45,000 or 55,000 kwenda juu hazina hayo masharti
Kadeti za elfu 15 ukiifua tu unaitupa
Zipo za kuanzia 1000$ Ila ni kwa wale wenyeji wa ScotlandWeka na aina ya kadet pia
Kuna grades za 45,000 or 55,000 kwenda juu hazina hayo masharti