Mioyo ya Wafuasi wa CHADEMA imesagika vyakutosha

Mioyo ya Wafuasi wa CHADEMA imesagika vyakutosha

Getrude Mollel

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2022
Posts
270
Reaction score
362
Kuna matukio yametoka hivi karibuni kwenye medani yetu ya siasa hapa nchini, matukio ambayo yamevunja sana mioyo ya wafuasi wa Chama Kikuu cha Upinzani, CHADEMA.

Matendo ya chama yanaweza kuimarisha imani ya wanachama/wafuasi ya wanachama kwa chama chao, au kuzorotesha kabisa. CHADEMA kwa matendo yenu ya hapa na pale ambayo bila shaka mnafanya bila mkakati wala kufanya tafakuri, baada ya uchaguzi wa 2025 mtajikuta mmepoteza sifa ya kuwa Chama Kikuu cha upinzani.

Matukio yenyewe ni kama yafuatayo

1. Kitendo cha Lissu kurudi na kuondoka Tanzania

Fikiria ile hamu waliyokuwa nayo na kiongozi wao alipokuwa Ubelgiji. Siku amerudi watu walikwenda kumpokea na kumlaki kwa mahaba na mawada. Ila baada ya muda mfupi tu pasi na kuwa na sababu za msingi ameondoka zake na kurudi Ubelgiji. Kitendo hiki kimevunja sana mioyo ya wanachama wa UFIPA.

2. Kupokea ruzuku waliyoikataa
"Tukipokea ruzuku ni sawa na kukiri kwamba uchaguzi wa 2020 ulikuwa wa haki na halali" - Mbowe. Mbowe alinukuliwa akitamka haya maneno, na maneno haya yaliwapa nguvu sana wanachama wa Chadema. Ila katika hali ya sintofahamu na kushangaza zaidi, UFIPA bila haya wala soni, wamepokea ruzuku hiyo ya zaidi ya Shilingi milioni 800 za Kitanzania. Kitendo hiki kimesigina zaidi mioyo ya watu wa UFIPA.

3. Rais Samia Suluhu kukubali kuwa mgeni Rasmi katika shughuli ya BAVICHA

Ndani ya CHADEMA wapo separatists ambao hawataki hata kidogo kuona kuna muingiliano katika ya chama chao na serikali. Hii imewachoma sana kundi hilo. Mfano Mdude ni watu wa aina hii. Rais Samia Suluhu anatumia 'Soft Power' kupata anachotaka kutoka Chadema, hatumii nguvu na mabavu kama mtangulizi wake.

4. Lema kutusi VICOBA na Bodaboda
Wengi wako mtandaoni kuitetea kauli ya Lema kwamba alikuwa sawa kwenye matamshi yake dhidi ya bodaboda na wanawake wanaoshiriki VICOBA. Kauli hii kutoka kwa Lema haikutegemewa kabisa na wafuasi wa chadema lakini hata kwa watanzania ambapo wanafuatilii siasa. Kauli za Lema za kejeli na dharau kwa bodaboda na watu wa vicoba zimeacha madoa kwa watu wa makundi mbalimbali kwenye jamii..

5. Kujitoa kuwahoji akina Halima Mdee na wenzake.
 
Kuna matukio yametoka hivi karibuni kwenye medani yetu ya siasa hapa nchini, matukio ambayo yamevunja sana mioyo ya wafuasi wa Chama Kikuu cha Upinzani, CHADEMA.

Matendo ya chama yanaweza kuimarisha imani ya wanachama/wafuasi ya wanachama kwa chama chao, au kuzorotesha kabisa. CHADEMA kwa matendo yenu ya hapa na pale ambayo bila shaka mnafanya bila mkakati wala kufanya tafakuri, baada ya uchaguzi wa 2025 mtajikuta mmepoteza sifa ya kuwa Chama Kikuu cha upinzani.

Matukio yenyewe ni kama yafuatayo

1. Kitendo cha Lissu kurudi na kuondoka Tanzania

Fikiria ile hamu waliyokuwa nayo na kiongozi wao alipokuwa Ubelgiji. Siku amerudi watu walikwenda kumpokea na kumlaki kwa mahaba na mawada. Ila baada ya muda mfupi tu pasi na kuwa na sababu za msingi ameondoka zake na kurudi Ubelgiji. Kitendo hiki kimevunja sana mioyo ya wanachama wa UFIPA.

2. Kupokea ruzuku waliyoikataa
"Tukipokea ruzuku ni sawa na kukiri kwamba uchaguzi wa 2020 ulikuwa wa haki na halali" - Mbowe. Mbowe alinukuliwa akitamka haya maneno, na maneno haya yaliwapa nguvu sana wanachama wa Chadema. Ila katika hali ya sintofahamu na kushangaza zaidi, UFIPA bila haya wala soni, wamepokea ruzuku hiyo ya zaidi ya Shilingi milioni 800 za Kitanzania. Kitendo hiki kimesigina zaidi mioyo ya watu wa UFIPA.

3. Rais Samia Suluhu kukubali kuwa mgeni Rasmi katika shughuli ya BAVICHA

Ndani ya CHADEMA wapo separatists ambao hawataki hata kidogo kuona kuna muingiliano katika ya chama chao na serikali. Hii imewachoma sana kundi hilo. Mfano Mdude ni watu wa aina hii. Rais Samia Suluhu anatumia 'Soft Power' kupata anachotaka kutoka Chadema, hatumii nguvu na mabavu kama mtangulizi wake.

4. Lema kutusi VICOBA na Bodaboda
Wengi wako mtandaoni kuitetea kauli ya Lema kwamba alikuwa sawa kwenye matamshi yake dhidi ya bodaboda na wanawake wanaoshiriki VICOBA. Kauli hii kutoka kwa Lema haikutegemewa kabisa na wafuasi wa chadema lakini hata kwa watanzania ambapo wanafuatilii siasa. Kauli za Lema za kejeli na dharau kwa bodaboda na watu wa vicoba zimeacha madoa kwa watu wa makundi mbalimbali kwenye jamii..

5. Kujitoa kuwahoji akina Halima Mdee na wenzake.
Kwahiyo nini Kifanyike?
 
Kuna matukio yametoka hivi karibuni kwenye medani yetu ya siasa hapa nchini, matukio ambayo yamevunja sana mioyo ya wafuasi wa Chama Kikuu cha Upinzani, CHADEMA.

Matendo ya chama yanaweza kuimarisha imani ya wanachama/wafuasi ya wanachama kwa chama chao, au kuzorotesha kabisa. CHADEMA kwa matendo yenu ya hapa na pale ambayo bila shaka mnafanya bila mkakati wala kufanya tafakuri, baada ya uchaguzi wa 2025 mtajikuta mmepoteza sifa ya kuwa Chama Kikuu cha upinzani.

Matukio yenyewe ni kama yafuatayo

1. Kitendo cha Lissu kurudi na kuondoka Tanzania

Fikiria ile hamu waliyokuwa nayo na kiongozi wao alipokuwa Ubelgiji. Siku amerudi watu walikwenda kumpokea na kumlaki kwa mahaba na mawada. Ila baada ya muda mfupi tu pasi na kuwa na sababu za msingi ameondoka zake na kurudi Ubelgiji. Kitendo hiki kimevunja sana mioyo ya wanachama wa UFIPA.

2. Kupokea ruzuku waliyoikataa
"Tukipokea ruzuku ni sawa na kukiri kwamba uchaguzi wa 2020 ulikuwa wa haki na halali" - Mbowe. Mbowe alinukuliwa akitamka haya maneno, na maneno haya yaliwapa nguvu sana wanachama wa Chadema. Ila katika hali ya sintofahamu na kushangaza zaidi, UFIPA bila haya wala soni, wamepokea ruzuku hiyo ya zaidi ya Shilingi milioni 800 za Kitanzania. Kitendo hiki kimesigina zaidi mioyo ya watu wa UFIPA.

3. Rais Samia Suluhu kukubali kuwa mgeni Rasmi katika shughuli ya BAVICHA

Ndani ya CHADEMA wapo separatists ambao hawataki hata kidogo kuona kuna muingiliano katika ya chama chao na serikali. Hii imewachoma sana kundi hilo. Mfano Mdude ni watu wa aina hii. Rais Samia Suluhu anatumia 'Soft Power' kupata anachotaka kutoka Chadema, hatumii nguvu na mabavu kama mtangulizi wake.

4. Lema kutusi VICOBA na Bodaboda
Wengi wako mtandaoni kuitetea kauli ya Lema kwamba alikuwa sawa kwenye matamshi yake dhidi ya bodaboda na wanawake wanaoshiriki VICOBA. Kauli hii kutoka kwa Lema haikutegemewa kabisa na wafuasi wa chadema lakini hata kwa watanzania ambapo wanafuatilii siasa. Kauli za Lema za kejeli na dharau kwa bodaboda na watu wa vicoba zimeacha madoa kwa watu wa makundi mbalimbali kwenye jamii..

5. Kujitoa kuwahoji akina Halima Mdee na wenzake.

Nenda kasome nini maana ya maridhiano. Ndio urudi Tena. Kwani akina Halima Mdee wakirudi Kuna shida gani? Mbona Slaa karudi?
 
Chadema ni malaya wasaka pesa tu,anaetegemea chadema ni taasisi anaota mchana kweupeee,hiyo ni Sacco's
 
Alaumiwe mmiliki wa chama Mr Mbowe. Neno lake ndani ya CHADEMA ni sheria... hakuna cha katiba ya chama wala nini. Mbowe ndo katiba ya chama. Kwa CCM ni furaha kubwa kwasababu 2025 tunashinda mapema sana. Kauli za Lema zitasaidia sana kutopoteza jimbo la Arusha mjini mwaka 2025. Lema akiongea kwa busara italeta madhara kwa CCM. Tunamwombea aendelee kutukana makundi mengine kama Mama ntilie, vibarua viwandani, makonda wa daladala na mabasi, waalimu na makundi mengine yote
 
Tunahitaji chama cha upinzani kwa sasa. Waliokuwa wapinzani ACTna CHADEMA sasa ni CCM A na B..

Nafasi ya CHAUMA tulepo ubwabwa angalau
 
Nenda kasome nini maana ya maridhiano. Ndio urudi Tena. Kwani akina Halima Mdee wakirudi Kuna shida gani? Mbona Slaa karudi?
CUF ilishafanya hayo, NCCR ikafanya hayo, ACT imefanya. Hebu tueleze wapoje hadi sasa? Na kwa nn mliwatukana walipokua wakifanya hayo?

Nb:
Chadema ni matahira
 
..haijasagika kuliko UKATILI aliokuwa akiufanya MAGUFULI na genge lake.
Hicho ni kichaka tu!

Ila ukweli wenyewe tutauona siku za usoni!

Mbowe mbele ya hela yuko tayari kufanya lolote.

Ila anawaumiza wafuasi wake kwa kuwageuza kama chapati,
 
Alaumiwe mmiliki wa chama Mr Mbowe. Neno lake ndani ya CHADEMA ni sheria... hakuna cha katiba ya chama wala nini. Mbowe ndo katiba ya chama. Kwa CCM ni furaha kubwa kwasababu 2025 tunashinda mapema sana. Kauli za Lema zitasaidia sana kutopoteza jimbo la Arusha mjini mwaka 2025. Lema akiongea kwa busara italeta madhara kwa CCM. Tunamwombea aendelee kutukana makundi mengine kama Mama ntilie, vibarua viwandani, makonda wa daladala na mabasi, waalimu na makundi mengine yote
Yeye ni Supreme leader!
 
Mbowe kwenye pesa hana undugu. Poleni sana

..Ccm wanatoa wapi fedha za kuwahonga wapinzani?

..Je, ni fedha zao binafsi, au fedha za umma?

..Na jambo hilo lina faida gani kwa Mtanzania wa kawaida?
 
..Ccm wanatoa wapi fedha za kuwahonga wapinzani?

..Je, ni fedha zao binafsi, au fedha za umma?

..Na jambo hilo lina faida gani kwa Mtanzania wa kawaida?
Haya maswali hadi sasa viongozi wengine wa chadema wanajiuliza hivyohivyo.

Mbowe kawaacha kwenye mataa
 
Back
Top Bottom