The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Hahaha nimecheka kwa sauti kubwa sana acheni vituko bana.Ingekuwa katoliki wangekuwa wameshamtangaza kuwa ni mtakatifu na anawaombea huko motoni alipo
Pitia hapo kwa mangi uagizie chochote ntapita baadaye kulipia.