implicit memory
JF-Expert Member
- Nov 14, 2024
- 806
- 926
kwamba mdogo wake Alikiba ni muhujumu uchumi ama sijakuelewa vizur gentleman, kwa faida ya wadau wa JF lakini 🐒Pesa ya Abdukiba inafanya Kazi mpaka kwenu hivyo sioni ajabu
Kuna mambo unayaona ht ukifumba macho, yn lolote baya likitokea chadema bc lawama kwa ccm 😂What you can't see while you're on the top of the tree,others can clearly see while seated on a chair...
Huyo mzee amechanganyikiwAkwamba mdogo wake Alikiba ni muhujumu uchumi ama sijakuelewa vizur gentleman, kwa faida ya wadau wa JF lakini 🐒
CHADEMA hawana viongozi wenye busara? Hizo siasa za majitaka walizoanzisha ndiyo zinawagharimu.Kuna shida ndani ya CHADEMA na si vema kuukataa huu ukweli na mgombanishi si mwingine bali ni CCM
Kiongozi kukaa madarakani muda mrefu na kugomea kuachia madaraka hiyo ni njama za CCM?Mpaka sasa wamefanikiwa walau asilimia 40 kutengeneza kundi la upinzani ndani ya CHADEMA
Kwamba sasa kuna makundi mawili yanayokinzana
1. Kundi la mwenyekiti
2. Kundi la makamu
Makundi haya kupitia mamluki wa CCM ndio yatagombanishwa siku ya uchaguzi na mambo mawili yanaweza kutoka
1. CHADEMA kupasuka mapande mawili
2. Kundi lenye backup ya CCM kushinda kwa figisu na kingine kuundiwa kesi za uhaini nk
Kilichotokea NCCR- Mageuzi 1994 nadhani pale Tanga kwenye uchaguzi wao ndio kinapangwa kufanywa mwakani January 21 kwenye uchaguzi wao CHADEMA
Jambo moja lililo wazi ni kwamba mazingira na nyakati ni tofauti kabisa na CHADEMA sio NCCR!
Harakati zote,mipango yote ovu kwasasa imeelekezwa CHADEMA na kilele chake ni mwakani January 21.. Mengine yote yamewekwa bench
Kwa kudra za Mwenyezi Mungu na mahitaji ya nyakati. CHADEMA inaweza kumaliza kwa madhara yasiyoumiza sana
Hapa napo kuna mawili
1. Kulaumiana ndani ya CCM kwa kushindwa kukigawa na kukiua CHADEMA.. Yatajitokeza mengi sana hapa
2. Kufanikiwa mpango ovu wa kukigawa CHADEMA.. Then what next? Kukumbuka mlango wa nyuma waliacha wazi na kuruhusu maadui ndani hao kuingia na kujenga himaya
Kufikia hapo hali itakuwa mbaya sana kwa mustakabali wa Tanganyika
S
alama ya CCM kwa sasa ni kuiacha CHADEMA istawi..mipango yote ovu juu ya CHADEMA ina side effects kubwa kwa CCM
Hekima na maono ni muhimu sana kuelekea uchaguzi huu muhimu kwa ustawi na mustakabali wa Tanganyika
huu ni wakati wa Lissu.! Ni muhimu sana kusoma alama za nyakatiView attachment 3185144
Kuendesha Chama kifamilia na kiukabila hapo CCM inahusikaje?Mpaka sasa wamefanikiwa walau asilimia 40 kutengeneza kundi la upinzani ndani ya CHADEMA
Kwamba sasa kuna makundi mawili yanayokinzana
1. Kundi la mwenyekiti
2. Kundi la makamu
Makundi haya kupitia mamluki wa CCM ndio yatagombanishwa siku ya uchaguzi na mambo mawili yanaweza kutoka
1. CHADEMA kupasuka mapande mawili
2. Kundi lenye backup ya CCM kushinda kwa figisu na kingine kuundiwa kesi za uhaini nk
Kilichotokea NCCR- Mageuzi 1994 nadhani pale Tanga kwenye uchaguzi wao ndio kinapangwa kufanywa mwakani January 21 kwenye uchaguzi wao CHADEMA
Jambo moja lililo wazi ni kwamba mazingira na nyakati ni tofauti kabisa na CHADEMA sio NCCR!
Harakati zote,mipango yote ovu kwasasa imeelekezwa CHADEMA na kilele chake ni mwakani January 21.. Mengine yote yamewekwa bench
Kwa kudra za Mwenyezi Mungu na mahitaji ya nyakati. CHADEMA inaweza kumaliza kwa madhara yasiyoumiza sana
Hapa napo kuna mawili
1. Kulaumiana ndani ya CCM kwa kushindwa kukigawa na kukiua CHADEMA.. Yatajitokeza mengi sana hapa
2. Kufanikiwa mpango ovu wa kukigawa CHADEMA.. Then what next? Kukumbuka mlango wa nyuma waliacha wazi na kuruhusu maadui ndani hao kuingia na kujenga himaya
Kufikia hapo hali itakuwa mbaya sana kwa mustakabali wa Tanganyika
S
alama ya CCM kwa sasa ni kuiacha CHADEMA istawi..mipango yote ovu juu ya CHADEMA ina side effects kubwa kwa CCM
Hekima na maono ni muhimu sana kuelekea uchaguzi huu muhimu kwa ustawi na mustakabali wa Tanganyika
huu ni wakati wa Lissu.! Ni muhimu sana kusoma alama za nyakatiView attachment 3185144
Matumizi mabaya ya ruzuku na Fedha nyinginezo CCM inahusikaje?Mpaka sasa wamefanikiwa walau asilimia 40 kutengeneza kundi la upinzani ndani ya CHADEMA
Kwamba sasa kuna makundi mawili yanayokinzana
1. Kundi la mwenyekiti
2. Kundi la makamu
Makundi haya kupitia mamluki wa CCM ndio yatagombanishwa siku ya uchaguzi na mambo mawili yanaweza kutoka
1. CHADEMA kupasuka mapande mawili
2. Kundi lenye backup ya CCM kushinda kwa figisu na kingine kuundiwa kesi za uhaini nk
Kilichotokea NCCR- Mageuzi 1994 nadhani pale Tanga kwenye uchaguzi wao ndio kinapangwa kufanywa mwakani January 21 kwenye uchaguzi wao CHADEMA
Jambo moja lililo wazi ni kwamba mazingira na nyakati ni tofauti kabisa na CHADEMA sio NCCR!
Harakati zote,mipango yote ovu kwasasa imeelekezwa CHADEMA na kilele chake ni mwakani January 21.. Mengine yote yamewekwa bench
Kwa kudra za Mwenyezi Mungu na mahitaji ya nyakati. CHADEMA inaweza kumaliza kwa madhara yasiyoumiza sana
Hapa napo kuna mawili
1. Kulaumiana ndani ya CCM kwa kushindwa kukigawa na kukiua CHADEMA.. Yatajitokeza mengi sana hapa
2. Kufanikiwa mpango ovu wa kukigawa CHADEMA.. Then what next? Kukumbuka mlango wa nyuma waliacha wazi na kuruhusu maadui ndani hao kuingia na kujenga himaya
Kufikia hapo hali itakuwa mbaya sana kwa mustakabali wa Tanganyika
S
alama ya CCM kwa sasa ni kuiacha CHADEMA istawi..mipango yote ovu juu ya CHADEMA ina side effects kubwa kwa CCM
Hekima na maono ni muhimu sana kuelekea uchaguzi huu muhimu kwa ustawi na mustakabali wa Tanganyika
huu ni wakati wa Lissu.! Ni muhimu sana kusoma alama za nyakatiView attachment 3185144
Watanzania wameshakosa Imani na CHADEMA hata kabla ya huo unaoitwa mkakati wa CCM kuibomia hivyo hoja yako Mkuu Haina mashikoMpaka sasa wamefanikiwa walau asilimia 40 kutengeneza kundi la upinzani ndani ya CHADEMA
Kwamba sasa kuna makundi mawili yanayokinzana
1. Kundi la mwenyekiti
2. Kundi la makamu
Makundi haya kupitia mamluki wa CCM ndio yatagombanishwa siku ya uchaguzi na mambo mawili yanaweza kutoka
1. CHADEMA kupasuka mapande mawili
2. Kundi lenye backup ya CCM kushinda kwa figisu na kingine kuundiwa kesi za uhaini nk
Kilichotokea NCCR- Mageuzi 1994 nadhani pale Tanga kwenye uchaguzi wao ndio kinapangwa kufanywa mwakani January 21 kwenye uchaguzi wao CHADEMA
Jambo moja lililo wazi ni kwamba mazingira na nyakati ni tofauti kabisa na CHADEMA sio NCCR!
Harakati zote,mipango yote ovu kwasasa imeelekezwa CHADEMA na kilele chake ni mwakani January 21.. Mengine yote yamewekwa bench
Kwa kudra za Mwenyezi Mungu na mahitaji ya nyakati. CHADEMA inaweza kumaliza kwa madhara yasiyoumiza sana
Hapa napo kuna mawili
1. Kulaumiana ndani ya CCM kwa kushindwa kukigawa na kukiua CHADEMA.. Yatajitokeza mengi sana hapa
2. Kufanikiwa mpango ovu wa kukigawa CHADEMA.. Then what next? Kukumbuka mlango wa nyuma waliacha wazi na kuruhusu maadui ndani hao kuingia na kujenga himaya
Kufikia hapo hali itakuwa mbaya sana kwa mustakabali wa Tanganyika
S
alama ya CCM kwa sasa ni kuiacha CHADEMA istawi..mipango yote ovu juu ya CHADEMA ina side effects kubwa kwa CCM
Hekima na maono ni muhimu sana kuelekea uchaguzi huu muhimu kwa ustawi na mustakabali wa Tanganyika
huu ni wakati wa Lissu.! Ni muhimu sana kusoma alama za nyakatiView attachment 3185144
halafu ni kama ametelekezwa na kukosa usaidizi kabisa dah!🐒Huyo mzee amechanganyikiwA
Takataka haziombewi zinatupwa jalalaniNiombee mkuu!
chadema ni taasisi huru,Ccm itulie iache chadema wafanye uchaguzi wao. Wakumbuke wanachokifanya huko kina side effect kwao
Lisu hujaongelea uhusika wake katika kuiua chademaMpaka sasa wamefanikiwa walau asilimia 40 kutengeneza kundi la upinzani ndani ya CHADEMA
Kwamba sasa kuna makundi mawili yanayokinzana
1. Kundi la mwenyekiti
2. Kundi la makamu
Makundi haya kupitia mamluki wa CCM ndio yatagombanishwa siku ya uchaguzi na mambo mawili yanaweza kutoka
1. CHADEMA kupasuka mapande mawili
2. Kundi lenye backup ya CCM kushinda kwa figisu na kingine kuundiwa kesi za uhaini nk
Kilichotokea NCCR- Mageuzi 1994 nadhani pale Tanga kwenye uchaguzi wao ndio kinapangwa kufanywa mwakani January 21 kwenye uchaguzi wao CHADEMA
Jambo moja lililo wazi ni kwamba mazingira na nyakati ni tofauti kabisa na CHADEMA sio NCCR!
Harakati zote,mipango yote ovu kwasasa imeelekezwa CHADEMA na kilele chake ni mwakani January 21.. Mengine yote yamewekwa bench
Kwa kudra za Mwenyezi Mungu na mahitaji ya nyakati. CHADEMA inaweza kumaliza kwa madhara yasiyoumiza sana
Hapa napo kuna mawili
1. Kulaumiana ndani ya CCM kwa kushindwa kukigawa na kukiua CHADEMA.. Yatajitokeza mengi sana hapa
2. Kufanikiwa mpango ovu wa kukigawa CHADEMA.. Then what next? Kukumbuka mlango wa nyuma waliacha wazi na kuruhusu maadui ndani hao kuingia na kujenga himaya
Kufikia hapo hali itakuwa mbaya sana kwa mustakabali wa Tanganyika
S
alama ya CCM kwa sasa ni kuiacha CHADEMA istawi..mipango yote ovu juu ya CHADEMA ina side effects kubwa kwa CCM
Hekima na maono ni muhimu sana kuelekea uchaguzi huu muhimu kwa ustawi na mustakabali wa Tanganyika
huu ni wakati wa Lissu.! Ni muhimu sana kusoma alama za nyakatiView attachment 3185144
Mgombanishi sio Ccm bali ni pesa za Mama Abdul….Kuna shida ndani ya CHADEMA na si vema kuukataa huu ukweli na mgombanishi si mwingine bali ni CCM
Kabisa, hakunaga mlevi FALA, walevi wana akili sana, huyu sio mmoja waoNawafahamu vizuri sana walevi...wewe si mmoja wao