Mipango ya ccm kuisambaratisha CHADEMA inaenda vema lakini wakumbuke kulinda milango yao pia

Mipango ya ccm kuisambaratisha CHADEMA inaenda vema lakini wakumbuke kulinda milango yao pia

Wanaomshauri mwenyekiti ndani ya CCM Kwa hayo yanayoendelea ni wajinga sana!

Vita vya CCM sio kwa upinzani Bali ni mwenyekiti was ccm dhidi ya makundi ya kijasusi ya ndani ambayo yanaona matakwa yao na maagizo Yao Kwa Mwenyekiti yamebagazwa na kutotekelezwae!!

Hayati alipambana na chadema akachapisha fomu Moja lakini haikutosha kumpa muhula wa pili akaondoka!!

Baadhi ya maandishi yanasema "Alijenga nchi badala ya kujenga taifa" halafu akaongeza mwandishi kwakuandika"Tulishauri hakusikia Sasa hayupo"!!

Anaemweka Raise madarakani sio chadema Hadi ccm ikaze fuvu kuivunja Bali wenye Dola waliopo nje na ndani ya CCM!!

LISU NA CHADEMA SIO TISHIO LA URAIS 2025 BALI ANATUMIKA KUM KEEP BIZE MWENYEKITI KUMCHOSHA KIMEDANI ACHOKE ILI 2025 WAMUINGIZE MTU WAO WANAEMTAKA NDANI YA CCM!!!

Naendelea kuwaza na kuwazua kama mlipa kodi nisiekwepa kuilipa!
Vita vya CCM sio kwa upinzani Bali ni mwenyekiti was ccm dhidi ya makundi ya kijasusi ya ndani ambayo yanaona matakwa yao na maagizo Yao Kwa Mwenyekiti yamebagazwa na kutotekelezwae!!
 
Wanaomshauri mwenyekiti ndani ya CCM Kwa hayo yanayoendelea ni wajinga sana!

Vita vya CCM sio kwa upinzani Bali ni mwenyekiti was ccm dhidi ya makundi ya kijasusi ya ndani ambayo yanaona matakwa yao na maagizo Yao Kwa Mwenyekiti yamebagazwa na kutotekelezwae!!

Hayati alipambana na chadema akachapisha fomu Moja lakini haikutosha kumpa muhula wa pili akaondoka!!

Baadhi ya maandishi yanasema "Alijenga nchi badala ya kujenga taifa" halafu akaongeza mwandishi kwakuandika"Tulishauri hakusikia Sasa hayupo"!!

Anaemweka Raise madarakani sio chadema Hadi ccm ikaze fuvu kuivunja Bali wenye Dola waliopo nje na ndani ya CCM!!

LISU NA CHADEMA SIO TISHIO LA URAIS 2025 BALI ANATUMIKA KUM KEEP BIZE MWENYEKITI KUMCHOSHA KIMEDANI ACHOKE ILI 2025 WAMUINGIZE MTU WAO WANAEMTAKA NDANI YA CCM!!!

Naendelea kuwaza na kuwazua kama mlipa kodi nisiekwepa kuilipa!
Hayati alipambana na chadema akachapisha fomu Moja lakini haikutosha kumpa muhula wa pili akaondoka!!

Baadhi ya maandishi yanasema "Alijenga nchi badala ya kujenga taifa" halafu akaongeza mwandishi kwakuandika"Tulishauri hakusikia Sasa hayupo"!!
 
Inasikitisha sana...


Cc: Mahondaw
 
Nyie chadema ni wapumbavu, sasa kama mnajua ccm ndie anayewagombanisha kwann nyie wenyewe msikae chini na kuelewana nyie kwa nyie
 
downloadfile.jpg
 
Mpaka sasa wamefanikiwa walau asilimia 40 kutengeneza kundi la upinzani ndani ya CHADEMA
Kwamba sasa kuna makundi mawili yanayokinzana

1. Kundi la mwenyekiti

2. Kundi la makamu

Makundi haya kupitia mamluki wa CCM ndio yatagombanishwa siku ya uchaguzi na mambo mawili yanaweza kutoka

1. CHADEMA kupasuka mapande mawili
2. Kundi lenye backup ya CCM kushinda kwa figisu na kingine kuundiwa kesi za uhaini nk

Kilichotokea NCCR- Mageuzi 1994 nadhani pale Tanga kwenye uchaguzi wao ndio kinapangwa kufanywa mwakani January 21 kwenye uchaguzi wao CHADEMA

Jambo moja lililo wazi ni kwamba mazingira na nyakati ni tofauti kabisa na CHADEMA sio NCCR!

Harakati zote,mipango yote ovu kwasasa imeelekezwa CHADEMA na kilele chake ni mwakani January 21.. Mengine yote yamewekwa bench

Kwa kudra za Mwenyezi Mungu na mahitaji ya nyakati. CHADEMA inaweza kumaliza kwa madhara yasiyoumiza sana
Hapa napo kuna mawili

1. Kulaumiana ndani ya CCM kwa kushindwa kukigawa na kukiua CHADEMA.. Yatajitokeza mengi sana hapa

2. Kufanikiwa mpango ovu wa kukigawa CHADEMA.. Then what next? Kukumbuka mlango wa nyuma waliacha wazi na kuruhusu maadui ndani hao kuingia na kujenga himaya

Kufikia hapo hali itakuwa mbaya sana kwa mustakabali wa Tanganyika
S
alama ya CCM kwa sasa ni kuiacha CHADEMA istawi..mipango yote ovu juu ya CHADEMA ina side effects kubwa kwa CCM

Hekima na maono ni muhimu sana kuelekea uchaguzi huu muhimu kwa ustawi na mustakabali wa Tanganyika

huu ni wakati wa Lissu.! Ni muhimu sana kusoma alama za nyakatiView attachment 3185144
Waratibu wa mipango wanajulikana. Ni kina Yericko Nyerere, Bon Yai wakiongozwa na mwenyekiti wa chama.

But kama asemavyo chawa wao fulan humu JF, kwamba shetan hajawahi kumshinda Mungu. Hivyo watashindwa tu.
 
Watanzania wameshakosa Imani na CHADEMA hata kabla ya huo unaoitwa mkakati wa CCM kuibomia hivyo hoja yako Mkuu Haina mashiko
Uliza tume ya uchafuzi ...wanaija mpaga vitongoji...wakiacha reflaction ya sanduku na rushwa watapata majibu sahihi ya kushangaza Nini watu wanataka...ingekuwa Kama usemavyo huyo Samia angepiga kampeni ya kuchaguliwa zaidi ya miaka minne anajipigia kampeni ya 2025...
 
Back
Top Bottom