Mipango ya Mungu (Yanayomsibu Celine Dion)

Mipango ya Mungu (Yanayomsibu Celine Dion)

fikra zako ni pana sana,unauliza maswali ya kidadisi sana natamani nijue unaamini nini mkuu.
navyojua binadamu wote uwezo wetu wa kufkiri ni sawa..
kuamini kuhusu nini..?
 
Namshukulu mungu njia yangu ya kwenda kwa mungu ni safi kidogo, ila naendelea kuisafisha wakati wa kupita kusiwe na pingamizi lolote. wengine njia zao hazipitiki kabisa kwa madhambi yao.
ni vizuri mkuu,.
ila kama unaamua kufata njia ya MUNGU ingia indeep,..anasema ktk revelation/Ufunuo,..ukiwa vuguvugu atakutapika na kukukataa.
ishi ktk njia za MUNGU Na Mungu atakusaidia na kukushindia na utaweza kushinda dhambi,..
LUKA13:24.,anasema jitahidini kuingia katika mlango uliomwembamba kwamaana wengi watataka kuingia wasiweze,...
kuishi katika njia sahihi MUNGU anayoitaka ni kazi ngumu ukiwa nje ya neema,..
but ni kazi rahisi ukiwa ndani ya wokovu,..
ALL DAYS KEEP IN YOUR MIND,..
NI HII DUNIA ITAPITA NA KILA KITU,..
 
Kama mungu yupo, kwa nini aruhusu mipango yake imnyang'anye Celine Dion mume wake na kaka yake katika kipindi kifupi hivyo?

Huyo mungu alishindwa kumpa Celine Dion hata mwezi?
KWAHIYO WEWE ndugu,..unaamini hakuna Mungu?????au MUNGU SIO WA HAKI??
 
imani kwa maana ya dini mungu,na vitu vinayofanana na hivyo.
naamini binadamu ni kama organism tu i mean hana roho...
lkn naweza kuamn kama mtu akinithibitishia uwepo wa vitu vya kufikirika mf.mungu,shetani
 
naamini binadamu ni kama organism tu i mean hana roho...
lkn naweza kuamn kama mtu akinithibitishia uwepo wa vitu vya kufikirika mf.mungu,shetani
basi nikama ambavyo nilikuwa nafikiria kuhusu wewe,wewe ni miongoni mwa wanaadamu walio huru sana maana hujafungwa na chochote zaidi ya kuutumainia ubongo wako.ila hufichi hekima zako kwa kuruhusu majadiliano.safi
 
Namshukulu mungu njia yangu ya kwenda kwa mungu ni safi kidogo, ila naendelea kuisafisha wakati wa kupita kusiwe na pingamizi lolote. wengine njia zao hazipitiki kabisa kwa madhambi yao.

Mpaka hapo njia yako ni chafu sana kuliko zote

Wewe utajisifu vipi kujilinganisha na wengine?
 
Kuna watu wana huzuni Zaidi yake muda huu,sema hawajatangazwa
 
The Bible says : "God is Love" 1 John 4:8
how can the Loving God be behind all deaths that accurs daily,be it man made, or natural disasters?
wow PHILE1879 what a lovely answer you made my evening good? I support you for this answer God is not behind human sufferings because he loves us and want good thing to happen to us when we are happy he is and when we are sad he feels the same
 
Sitaki kuamini, nataka kujua.

Kama mungu yupo, thibitisha.
unaamini biblia nikuthibitishie???????
maana asiyeamini ktk Mungu kuamini biblia ni tatizo,.shetani kakamata moyo wa mtu huyo
 
unaamini biblia nikuthibitishie???????
maana asiyeamini ktk Mungu kuamini biblia ni tatizo,.shetani kakamata moyo wa mtu huyo

Nimeandika sitaki kuamini, nataka kujua.

Unaniuliza kama naamini biblia.

Unajua kusoma? Au una makengeza ya ubongo?
 
Nimeandika sitaki kuamini, nataka kujua.

Unaniuliza kama naamini biblia.

Unajua kusoma? Au una makengeza ya ubongo?
maadamu hutaki,..ok ila huo mwili utapita,na uhai unamwisho pia..
na dunia itapita pia,..nakushauri bure ndugu,..
MRUDIE MUNGU UOKOKE USIISHI MAISHA YA KUTENDA DHAMBI,..
Mungu hakutuumba tje tufanye dhambi duniani,..
Yesu akusaidie uyafikilie haya,..Akuokoe
 
maadamu hutaki,..ok ila huo mwili utapita,na uhai unamwisho pia..
na dunia itapita pia,..nakushauri bure ndugu,..
MRUDIE MUNGU UOKOKE USIISHI MAISHA YA KUTENDA DHAMBI,..
Kabla ya kuniambia nimrudie mungu, thibitisha kwamba yupo.
 
Kabla ya kuniambia nimrudie mungu, thibitisha kwamba yupo.
.

Pumzi unayopumua ni evidence tosha,..
creation ya viumbe hai vinavyoishi,..
pia baada ya kufa roho/nafsi unahisi vinakwenda wapi,..vinapotea2 au vinaenda wapi?,,HAPANA
Vinarudi kwa MUNGU aliyekuleta ulimwenguni,...hiyo ni evidence tosha kuumbwa kwako na kufa kwako yupo creator aliyekuumba wewe ambaye ana mamlaka juu ya hiyo nafs aliyokuumbia wewe,..
 
Nimekaa nikafikiria Kama kuna mtu mwenye huzuni duniani kwa sasa atakuwa mwanamama Celine Dion sababu kafiwa na mumewe alhamis kabla hata hajamzika mumewe Jana kaka yake kafariki yaani kapoteza watu wawili muhimu kwake in 48hours kweli mipango ya Mungu ni ya ajabu na niya pekee
Ndugu zangu kifo kipo this is a wake up call for all of us
Tuangalie njia zetu
Sio kila mtu akifa ni mipango ya mungu,mingine mipango ya shetani tu..
 
Wengine hawa hapa
 

Attachments

  • 1453269733860.jpg
    1453269733860.jpg
    6.5 KB · Views: 44
Back
Top Bottom