Synod
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 4,143
- 4,180
Ni hivi; huo mwezi unaosema wewe ni mawazo yako. Hata ukimwuliza Celine Dion kuwa kungekuwa na interval ya mda gani kati ya msiba mmoja na mwingine, huenda angesema mda tofauti na huo mwezi mmoja.Jibu langu la msingi nilikuuliza, huyo Mungu hana huruma ya kumpa mwezi kati ya misiba miwili asipate misiba inayofuatana mmoja baada ya mwingine?
Sasa kama kila mwanadamu ana mawazo yake kuhusu interval ya msiba na msiba, Je Mungu?
Halafu, nani alikwambia kuwa kila mtu anapokufa basi ni mapenzi ya Mungu? Kama hujui shetani naye anaua na Mungu anamwacha afanye hivyo; hasa kwa wale ambao sio wana wa Mungu, kama wewe.