Mipango yangu ya kuwa na mtoto mwaka 2018 haijatimia

MR LINKO

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2016
Posts
3,034
Reaction score
3,526
Nilipanga niwe na watoto hata wawili kabla mwaka 2018 haujaisha....lakini mwaka umeisha huku nikiwa hata mama yao sijampata
 
Tembea
Nilipanga niwe na watoto hata wawili kabla mwaka 2018 haujaisha....lakini mwaka umeisha huku nikiwa hata mama yao sijampata

tembea na beki 3 mbele kwa mbele
 
Itakuwa huna Hela au huna uwezo wa kutongoza
Ukiwa na hivyo viwili kwa pamoja sidhani kama inashindikana
 
Watoto wawili?

Inaonekana huu ni mpango wa kama miaka minne nyuma!

Jitahidi upunguze udomo zege Mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…